NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,526
- 17,433
Ndugu Hemedi Mkurugenzi wa halmashauri ya Tabora wilaya ya Uyui wananchi na wakazi wa Kata ya Loya wanamlalamikia mwalimu wa sekondari ya Loya kwa unyanyasaji wa kingono kwa mabinti wa kike shuleni hapo!! Mwalimu huyu ambaye amehamia kutokea Madaha sekondari amekuwa kero shuleni hapo kwa wanafunzi wa kike!!!Ni mnywaji wa pombe kupindukia pia!
Amekuwa akiwatishia adhabu kali kwa wale wanaomkataa kufanya nae kitendo hicho cha aibu! Ipo mifano na ushahidi tosha wa baadhi ya wanafunzi wa kike wanaonyanyaswa na mwl huyo!!Kibaya zaidi Mwalimu huyo anakaa kwenye darasa la shuleni hapo !!!
Wananchi wanaomba mamlaka husika ichukue hatua ili kuwalinda watoto wa kike!!!
Amekuwa akiwatishia adhabu kali kwa wale wanaomkataa kufanya nae kitendo hicho cha aibu! Ipo mifano na ushahidi tosha wa baadhi ya wanafunzi wa kike wanaonyanyaswa na mwl huyo!!Kibaya zaidi Mwalimu huyo anakaa kwenye darasa la shuleni hapo !!!
Wananchi wanaomba mamlaka husika ichukue hatua ili kuwalinda watoto wa kike!!!