Lissu kamatia hapo hapo, endelea kupiga spana tu.watawala wameshapanic sana, Magu keshalegea kulegea sana, Bashiru anawatisha tu wanaCCM, PolePole anavurumisha matusi, Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi ameingia kupiga kampeni
Maajabu haya......View attachment 1583226
View attachment 1583224
Hebu tazameni hizi video, atawaambia nini watanzania?
Mkiambiwa tume ya Uchaguzi siyo huru mnabisha kitu gani watu wa Mungu?
View attachment 1583224
Unabambiwa wwBora huyu tobo Lissu akalishwe na aonywe. Tunataka sera sio matusi nakashfa.
Amevumiliwa sana mpuuzi huyu! Km vp arudishwe kwao ubelgiji.
Mijitu ya chadema km imekatwa vichwa yanataka kuuzwa yenyewe yanakenua tu.
You are right brother. His reasoning capacity is very close to zero.Huo Moto wa Kanda ya ziwa si wa kitoto aise ngoja tuone kipindi cha pili Sasa, CCM wamepoteana na tume yao. Hoja za kitoto kabisa eti wataiba madini yao zero kabisa huyu kibraka ana elimu gani reasoning yake ipo down Sana.
kusema kwamba mgombea inabidi atetee rasilimali za nchi na awe mzalendo sio kua neutral? Kwamba kwa kusema hivyo basi wanampigia kampeni mgombea wa CCM? Ukiona mtu ana react kwenye hili ujue mgombea wake sio mzalendo wala mtetea rasilimali za nchi.
Lambda bado wanaamini kuwa wananzania ni wajinga.Yaani mkurugenzi mzima wa NEC haoni hata aibu kuonesha mahaba kwa CCM na hapo hapo kuonesha chuki zake dhidi ya Lissu.
Tume ya uchaguzi haina mamlaka wala wajibu wa kuwapangia wagombea watoa sera gani au kutusemea sisi watanzania tunataka nini kutokea kwa wagombea. Waache wagombea waseme yao na watuache sisi wananchi tuwasilikize, mwisho tutaamua. Pilipili iko shambani yawawashia nini?
Shule yako itakua ndogo au laa hauna ufahamu WA kutosha🤣😂,,Hebu jiulize sasa hivi Mgodi wa Bulyanghulu anachimba baba ako?. North mara Anachimba Bibi yako?.. hiyo. vita ya wakulima na wafugaji ambayo inasababishwa na ardhi KUBWA ambayo ni productive kuhoziwa na watu imesababishwa na Nani?..Ardhi ishapigwa bei kitambo ,,,,ACHA WOGA na kukaririshwa tumia hilo bichwa KUBWA ulopewa kufikiriYani mnatetea mtu anaetaka kuweka rehani ardhi yetu? Unajidai upo deep kumbe umejaza manyoya tu kichwani. Mkiona hamuwezi kuisapoti CCM bora mkae kimya kuliko kutetea uovu.
Tatizo alishaandaa mshindi wake labda alishakula advance Sasa hili nyomi awakulitegemeaHuyu mtu si anatakiwa kutofungamana na upande wowote ule?
Tunaposema Lissu ni hatari ndio muelewe. Mkurugenzi wa uchaguzi kachanganyikiwa na kuanza kunadi sera kama kichaa. Sasa kama kibaraka hofu yake ni dhahiri namna hii ‘bosi’ wake ana hali gani?
Hii sio aibu, ni fedheha!
Atakuwa amepigiwa simu na bosi wake akaelekezwa maana bosi amechanganyikiwa wananchi hawaelewi hizo ndege zake na flyoverKwani huyo mkurugenzi anagombea urais kupitia chama gani? Watanzania tuna masikio, hayo matusi ya Lissu anasikia peke yake tu?
Mkurugenzi wa NEC na madin kwan vnahusianaje ameanza kujxahau ameanza kunadi wagombea......... watanzania tumeamka kwaz kwaoMkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC, amesema watanzania wanataka Afya iliyoimarika, barabara nzuri, miradi ya umeme, elimu bora hawataki blah! Blah!
Amesema watanzania hawataki viongozi watakaochukua madini yao na kwenda kuyauza kwa wageni nje, watanzania wanataka viongozi watakaotetea madini yao
Ameyasema hayo alipokuwa anazungumza kumuandikia barua Tundu Lissu ili kutoa maelezo dhidi ya tuhuma za uongo anazotuhumiwa kuzitoa
Amesema Tundu Lissu amekuwa akitangaza matusi, tuhuma na kudanganya wafanyakazi badala ya kutangaza sera
==
YALIYOZUNGUMZWA KWENYE VIDEO YA MKURUGENZI WA UCHAGUZI NEC
Kwa mamlaka ya kisheria Tume iliyonayo, tayari imemuandikia Barua Mh. Tundu Lissu ya kumuita katika Kamati ya Maadili ya Kitaifa ili aje kutoa maelezo na ushahidi wa kile alichokisema katika mkutano wake huko Musoma.
Kwa mara nyengine tena Tume inawasihi Wagombea wa Vyama vyote kufuata sheria, kanuni na taratibu za nchi ili kulinda amani ya nchi yetu, katika kipindi cha kampeni kilichobaki kwa kujali muda wa kampeni, ratiba za kampeni na kuepuka matusi, sababu unatumia muda mwingi kutangaza matusi badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kutangaza tuhuma badala ya kutangaza sera, unatumia muda mwingi kuwadanganya Watanzania na wafanyakazi badala ya kutangaza sera.
Watanzania sasa hivi wanataka Afya iliyoimarika, Watanzania sasa hivi wanataka barabara nzuri, Watanzania sasa hivi wanataka miradi ya umeme, Watanzania sasa hivi wanataka elimu bora, Watanzania hawataki bra bra. Watanzania sasa hivi wanataka viongozi ambao watalinda madini yao, sio viongozi watakaokuja kuchukua madini yao na kupeleka kwa wageni nje.