Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,864
- 41,237
Hongera kwake
Aaah ! Wapi ! Tume hii ndo ilimpa ubunge Mbowe, Esther Matako na wengineoHuyu Mwakibibi dawa yake inachemka, atanyweshwa muda sio mrefu. Aliharibu uchaguzi kwenye lile jimbo akapewa Eng Chiza, wakati alishindwa. Akahamishiwa Temeke. Leo anakuambia wagombea wa vyama vyote, hawawezi kujaza fomu, sasa sijui zimeandikwa Kinyakyusa? Au!! Maana yeye tu ndie anajua kuzijaza na anawajazia wagombea wa CCM. Jamani watanzani tuamke na kuikataa hii Tume ya uchaguzi ya CCM.
Subiri amiri jeshi atoke ndani !kwani vita lini?
...kama SeifHivi Lipumba anajisikiaje
Akili ya Mnyika kuomba fidia ya upendeleo na demokrasiaSioni mnachojisifia zaidi ya kuoneshana ni jinsi gani mnafanana na makonda kiakili.
Aanze Mbowe, agomee mshahara.Watumishi fanyeni hujuma indirect dhidi ya serikali hii onevu kwenu ni miaka 3 hakuna ongezeko la mshahara na maslahi yenu yanazidi kukandamizwa.
Kati ya hao vibaka watatu walikimbilia chaka chadema wanakopata hifadhi!Na katika mambo munayoonekana baadhi yenu munafikiria kwa kurudi nyuma ni kudhania kwamba upinzani ndio adui Wa maendeleo ya Tanzania. Adui Wa maendeleo yetu ni baadhi yetu kuwa vibaka na watanguliza maslahi binafsi kuliko ya walio wengi.
True; upande huo wa gharama unaweza kuwa mzuri lakini sidhani kama tunaweza tukakubali chaguzi zote watu wapite bila kupinga ili kusifanyike uchaguzi... Ndio maana akiwepo mgombea mmoja wa Urais, hapiti bila kupingwa...Mimi naunga mkono tumeokowa pesa za walipa kodi, hata ungefanyika uchaguzi maagizo yanafahamika ni lazima atangazwe Mtolea.
Chadema kujitowa kwenye hizi chaguzi za marudio za maigizo ni uamuzi wa busara sana.
Kati ya hao vibaka watatu walikimbilia chaka chadema wanakopata hifadhi!
bora mnyika ila makonda ovyo kabisa.Akili ya Mnyika kuomba fidia ya upendeleo na demokrasia
Wanafanya nini nao ni kumbi kumbi walionyofolewa mabawa!Kwa hiyo sasa Madabida na Sofia Simba wameacha ukibaka? Tuacheni mihemko kwenye mambo ya msingi!
uchaguzi haukufanyika sababu hakuna pesa ndio ikabidi utumike ujanja huu huu hawajui kujaza form. pesa hakuna zimeisha so hakuna savings.Mimi naunga mkono tumeokowa pesa za walipa kodi, hata ungefanyika uchaguzi maagizo yanafahamika ni lazima atangazwe Mtolea.
Chadema kujitowa kwenye hizi chaguzi za marudio za maigizo ni uamuzi wa busara sana.
Kati ya hao vibaka watatu walikimbilia chaka chadema wanakopata hifadhi
Mwananchi wa kawaida kushangilia kuongeza kwa wasema NDIOOOO bungeni ni ukichaa usio kipimo. Ni sawa na wale walio vaamikijani mlio wakusanya pale Kimara eti Magu anasema hatutalipa fidia kabisa wao wanashangilia. Hata mjinga anaweza shangaa, iweje wao wabomolewe kisha washangilie?Safi sana wakisusa watu wanakula endelea na pale uliposimamia!
Hana cha ubora, anatfanya siasa uchwara. Za kinafiki. Angenyimwa kuongea angefanya nini !bora mnyika ila makonda ovyo kabisa.
Wanafanya nini nao ni kumbi kumbi walionyofolewa mabawa!
Ni demokrasia ya kujiamulia kila mmoja awe upande gani wa kushindwa au kushinda!Mwananchi wa kawaida kushangilia kuongeza kwa wasema NDIOOOO bungeni ni ukichaa usio kipimo. Ni sawa na wale walio vaamikijani mlio wakusanya pale Kimara eti Magu anasema hatutalipa fidia kabisa wao wanashangilia. Hata mjinga anaweza shangaa, iweje wao wabomolewe kisha washangilie?
Tumieni akili maana kutumiwa siku mkifumbuka macho mtajijutia
Sasa huyo makonda kaongea nini?Hana cha ubora, anatfanya siasa uchwara. Za kinafiki. Angenyimwa kuongea angefanya nini !