Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Mbona alishaodoka huko miaka mingi akiaga kuwa kapewa ukurugenzi wa mradi wa vitambulisho! Na bado mengi yatajitokeza. Hata huyo Jack alishatumwa kwa jamaa yangu mmoja na Membe ili amsaidie technical insights kuhusu nyanja za ID systems. Jamaa akamtolea nje Jack baada ya kuliona tangazao katika Daily News toka TISS likuwatahadharisha wananchi kuwa yeye siyo mtumishi wa TISS ingawa ana-claim hivyo.
Hiyo project study ya National IDs walioiandika ni Computer Science Department ya Chuo Kikuu. Wizara ya Mambo ya Ndani ikaikalia na ikawapa hao kina Jack wakaidandia na kui-massage na kuigeuza kuwa yao. Ndio mwanzao wa kumleta Kyaruzai kwa vile alikuwepo kwenye lile jopo la Chuo Kikuu mwanzoni. Usahaidi upo na kama Jack au Kyruzi au Wizari inabisha basi waiweke hiyo document hadharani (Project Writeup) watalaamu wa plagiarism waipitie. Za mwizi ni arobaini tu!
ZalendoHalisi
This is very serious. Asante sana Zalendohalisi kwa taarifa hizi. Naomba waandishi wa habari mlioko humu muanze kuandika habari kama hizi ili umma upate kufahamu hizi mbinu chafu. Kama ni failure kwa mradi mdogo kama chuo, then anaweza kuwa mfanisi katika mradi wa taifa???
Jamani wekeni hadharani kabla tender rasmi haijatolewa. This is a shame, sijui Tanzania tunataka nini cheap cheap cheap tu!!! Always tunashauriwa kufanya value for money projects lakini Tanzania wanaimba tu but utekelezaji halisi kapuni. Sijui nihamie nchi gani hasa, nimechoka na uozo wa humu. Kweli billion 200 na ushee tunataka kuzichezea illi kutajirisha wachache??? Sijui tuamini nani ndani ya system hii.