Tanzania sijui ni lini mtaamka ofisa wa serikali ngazi ya ukurugenzi anaanzisha kampuni akiwa ndani ya serikali then ana-apply kuishauri serikali anapewa mkataba bado watu wanasema kulikuwa hakuna mchezo mchafu?
Pambanueni wadanganyika muone wenyewe kampuni hiyo na huyo JJ Kyaruzi ambaye anajiita Doctor huku akijua kuwa hakuupata u-Doctor na pia akiwa na record mbaya kabisa ya zile smart card za pale mlimani ambazo mpaka leo sie ambao tulichangishwa na kupewa hatujui zilikuwa na tofauti gani na id za kawaida leo hii anaishauri serikali juu ya ID?
Waulizeni CRDB benki watawaambia alichofanya pale! JK amka Maimu na Kyaruzi watakuchafua sasa hivi.
UDSM walimtimua Kyaruzi kwa kushindwa kazi ya just students ID tu za kuingilia library!
Pambanueni wadanganyika muone wenyewe kampuni hiyo na huyo JJ Kyaruzi ambaye anajiita Doctor huku akijua kuwa hakuupata u-Doctor na pia akiwa na record mbaya kabisa ya zile smart card za pale mlimani ambazo mpaka leo sie ambao tulichangishwa na kupewa hatujui zilikuwa na tofauti gani na id za kawaida leo hii anaishauri serikali juu ya ID?
Waulizeni CRDB benki watawaambia alichofanya pale! JK amka Maimu na Kyaruzi watakuchafua sasa hivi.
UDSM walimtimua Kyaruzi kwa kushindwa kazi ya just students ID tu za kuingilia library!