Mkurugenzi mtendaji Gotham ni Mkurugenzi wa utafiti na ICT - TIC

Mkuu baba enock,
kama mdanganyika nimelifwatilia sana hili swala mpaka kufikia kwenda kujifanya mwandishi na kuzama ndani ya hiyo press confrence waliotisha hao kina gotham,kudhibitisha,yule kubenea aliingia na islam wa thisday pamoja,yule lina denny wa channel10 aliondoka mapema,nilipata hadi handout ya presentation,nilistuka kumskia sarah mossi sijui wa RAI kusema,kwamba aliwaambia wenzake kuhusu ukweli wa gotham wao wakasema tumbamize tu anajifanya mjanja!!kama kuna mwandishi humu ndani aliudhuria atakumbuka hilo,mlangoni kulikuwa na wakribishaji wawili mmoja mrefu mmoja mfupi(sijui wa hoteli au wa gotham)

sasa,mie hapo juu niona ni kuchafuana tu,amna swali la msingi,mara wizi mtupu(hii ishakuwa komedi)mara kyarusi sio DR( halafu?) swala hapa ni vitambulisho vya utaifa hili jamvi ni juu zaidi ya mtu yeyote hapa,mie naweza kuscan page mbili za hiyo presentation ya hao kina gotham iliyosimama(inajieleza) je wewe na hizo shtuma zako unaweza kuthibitisha au habari kutoka mtu wa tatu?

hapo nyuma nilisema tuache kupotoshana,hilo naona kwako wewe imekuwa ngumu umechukuwa hili personal(eti mie mzalendo kweli?) sasa uoni hapo unataka tuache mada tuanze kujadiliana?

basi wewe ni mzalendo zaidi yangu maradufu,je umeweza kupata usingizi?

Tanzania nchi ya ajabu sana yaani kila kitu siasa tu hata vile visivyostahiLi.
li.
Kyaurizi amenifundisha kozi pale Manzeshe University.
Ni miongoni mwa mhadhiri aliyekuwa anajua anafundisha nini? In short bureaucracy za vyuo hazisababishi nione kwamba hafai.
Siwezi kuamini huu uzushi wa kwamba hana uwezo ni upuuzi mtupu.
Jamaa ni kichwa simple. Na najua alikuwa anajiamini na asingiweza kuburuzwa pale Manzese university.
Suala la conflict of interest siwezi kulitetea au kulilaumu kwa kuwa sijui hata kama kuna sheria inayozuia hivyo kwenye nchi yetu hii ya kila kitu kikiwa na auto-pilot.
Na hata kama kuna conflict of interest serikali inafahamu J. Kyaruzi ni mfanyakazi wapi? Na kama ni shareholder wa Gotham... Wao ndio wa kulaumiwa sio Kyaruzi.
Lingine consultation sio construction. Ni wazi kuwa hiyo deal ya UDSM itakuwa imempa somo kuliko of course Mtanzania yetote ambaye hata hajajaribu, unless mnataka kuleta watu wa nje... Maana mchawi analoga mtu anayemjua au jirani yake... Mtu asiyemjua hana habari naye.
Kwa hiyo sishangai kuona haya makelele yasiyokuwa na maana.
Mimi nina imani na kyaruzi kuliko wahadhiri wengine wengi wa IT pale UDSM.

Mwisho jamaa wanajiamini kwa hiyo vita hii hamtaiweza.

Mwisho acheni siasa, nchi inahitaji vitambulisho haraka sana... In fact miaka kama kumi iliyopita.... Not everything is politic.
Mungu ibarik Tanzania.



Nchi ya
 
Nakumbuka John Kyaruzi alikuwa mtumishi wa umma kupitia TIC, sijui status yake ya status hata hivyo.

Jamaa huyo mwingine simjui kabisa....

Ila sina mashaka na uwezo wa Kyaruzi na Uzalendo wake.

Projects nyingi za ICT world wide zina feli kwa sababu nyingi, lazima uwe na evaluation independent ndio utaweza kusema hiyo ya UDSM aka Manzese University... Ilifeli kwa sababu gani?... Wakati mwingine ni kiburi cha mteja mfano Prof. Luwanga mwenyewe, nani asiyejua jamaa alikuwa anakiburi sana, na kwamba kwake Engineer ndiye ana akili tu.etc
.
 
Jamani Hili Swala la Vitambulisho ni swala la Utaalam wa Ukweli sio bla bla..

Hakuna Nchi yoyote duniani ilifanya Vitambulisho vya Taifa kirahisi, Thai ID, Egypt Nat ID,or Philippine ID kwa Pres. Arroyo walipokuwa wanapambana na Abu Sayed (Al-Queda Style Terrorist wa Manila), watu kutekwa-security concerns, or Mykad vinavyosifika: Vitambulisho vya Taifa 4 Malaysia ambavyo vimeunganisha kila kitu, utambulisho wa Macho (Biometrics), dole Gumba (Fingerprints), Taarifa za Afya, Uzazi, Uhamiaji, Bank and leseni ya Kuendesha gari:

Mradi unahitaji Technology, System Integration iliyobobea na Uzoefu wa kujenga miundombinu dhabiti (Strong Data base/Registry Infrastructure)..

JF,Ukiondoa siasa za Sagem na Mengi: kumbe issue ugomvi ni kushare Mwanamke tu, au Kyaruzi ni Dk au Sio Dk, na Gotham,

Lets Talk utaalam JF: ma- IT tupo humu, najua wengi informed vizuri..

We now know Kutengeneza mtandao ni shughuli pevu (kama kujenga mtandao wa simu mpaka vijijini hivi), lets agree Mpiga Chapa wa Serikali Hawezi Deployment ya National ID smart card, kaonyesha kama walivyo watanzania wengi, haelewi smart card deployment ya size ya TZ ikoje.. Tuko what, 38 Mil plus..Give or take..

Question: Zile Lucky six Kampuni, bila Mizengwe,bila siasa, Utaalam tupu..

Nani kweli anaweza kumodernize ICT ya Tanzania or hii National ID Deplymnt...

6 Zilizotangazwa.

1. Unisys
2. Giesecke & Devrient FZE Dubai
3. Iris Malaysia
4.Madras Security Printers India
5.Marubeni
6. Tata
???

Tata ndio wanaotengeneza Magari India? Marubeni nilisikia kwenye kesi ya EPA, wanaweza ID nazo..whose who??.

Which company can really Modernize ICT and deploy a smart card based National ID for Bongo People.. facts!
 
Unajua like it or not hili dili lazima ka ufisadi angalau kadogo katokee tuu, I agree that we should stop concentrating on that and start discussing the actual companies that have been shortlisted. What is the level of their competence and thus which one should be better for the job???
 
6 Zilizotangazwa.

1. Unisys
2. Giesecke & Devrient FZE Dubai
3. Iris Malaysia
4.Madras Security Printers India
5.Marubeni
6. Tata
???

Tata ndio wanaotengeneza Magari India? Marubeni nilisikia kwenye kesi ya EPA, wanaweza ID nazo..whose
who??.

Which company can really Modernize ICT and deploy a smart card based National ID for Bongo People.. facts!


Ndugu, post yako umeiweka vizuri... in short issue ya National ID, ukiacha upande wa kuwatafuta hao watu wa ku-be-register yaani ku-mobilize wananchi etc... the other side is technology tupu na wana-technologia tu ndio wenye haki ya kujadili upande huo...

Kaka/dadaTATA ni kampuni kubwa sana na ina upande una-deal na ICT... google kidogo utalifahamu hilo... hilo ndugu.

Asante.... mchango wangu unaishia hapo.
 
mzalendo, acha ubabaishaji, twambie unachojua wewe kuhusu gotham na umnjibu mmj swali lake, gotham kaanza lini u consultance wa mambo ya vitambulisho.

  1. ukatae kuwa kyaruzi hakushindwa na mradi wa smart card pale mlimani
  2. uthibitishe kuwa kyaruzi kafanikiwa kuwa dr
  3. na ukatae kuwa kyaruzi si rafiki wa karibu wa maimu na hivyo kuufanya mradi wenyewe uwe wa maimu.

Kasheshe na Mzalendo;

Unapojadili issue lazima ujadili na watu au wataalamu ambao wanakuwa involved in the project. CV inayojiuza ni ile inayoonyesha huko nyuma uliwahi kufanya nini na kufanikiwa. Kama uliwahi kufeli kwenye project ni utata mtupu.

Naombeni mjibu hizo hoja zilizotolewa hapo juu. Kisha tuendelee.............
 
Sisi ndiyo watu wa ajabu kweli duniani. Tumeumbwa kuamini geresha na ndani yetu kuna visumaku vya kukubali maneno matamu na ahadi zenye "nia nzuri".

Yaani, hawa hawa ambao hadi leo hii hawajatoa maelezo ya Kagoda tunataka tuamini kuwa leo wameokoka na wana nia nzuri!

Yaani, hawahawa ambao hawajamaliza suala la rada tunataka kuwapa la kitambulisho

Yaani, hawahawa ambao hawajamaliza la Minara Pacha, leo wanakuja na mradi mwingine tunatakiwa tukumbatie kwa sababu "una lengo zuri"!

Yaani, hawa hawa waliotuingiza kwenye Richmond kwa lengo zuri la kutupatia umeme ndiyo hawa hawa tunaambiwa tukubali tu kwa vile wana "mshauri mzuri!"

Yaani, hawahawa ambao hadi leo hii hawajatuelezea Shilingi trilioni moja iliyokwapuliwa BoT imeenda wapi, leo tunatakiwa tukubali wachukue bilioni 200 kwa mradi "muhimu wa TAifa!"

Yaani, hawahawa ambao wanataka kujenga flyover Dar, wanakuja na mradi mabasi yaendayo kasi lakini wameshindwa kufunga taa za kuongozea magari karibu kila kona za Jiji la Dar au miji mingine ati tunatakiwa tuwashangilie na mradi wa vitambulisho!

Yaani, hawahawa?

Kuna uwezekano sisi tumerogwa, tunaumwa au tunawazimu!!! Nawaandikia barua... maana kama ni uhuni huu ndiyo halisi.. yes I mean Uhuni!!
 
Sisi ndiyo watu wa ajabu kweli duniani. Tumeumbwa kuamini geresha na ndani yetu kuna visumaku vya kukubali maneno matamu na ahadi zenye "nia nzuri".

Yaani, hawa hawa ambao hadi leo hii hawajatoa maelezo ya Kagoda tunataka tuamini kuwa leo wameokoka na wana nia nzuri!

Yaani, hawahawa ambao hawajamaliza suala la rada tunataka kuwapa la kitambulisho

Yaani, hawahawa ambao hawajamaliza la Minara Pacha, leo wanakuja na mradi mwingine tunatakiwa tukumbatie kwa sababu "una lengo zuri"!

Yaani, hawa hawa waliotuingiza kwenye Richmond kwa lengo zuri la kutupatia umeme ndiyo hawa hawa tunaambiwa tukubali tu kwa vile wana "mshauri mzuri!"

Yaani, hawahawa ambao hadi leo hii hawajatuelezea Shilingi trilioni moja iliyokwapuliwa BoT imeenda wapi, leo tunatakiwa tukubali wachukue bilioni 200 kwa mradi "muhimu wa TAifa!"

Yaani, hawahawa ambao wanataka kujenga flyover Dar, wanakuja na mradi mabasi yaendayo kasi lakini wameshindwa kufunga taa za kuongozea magari karibu kila kona za Jiji la Dar au miji mingine ati tunatakiwa tuwashangilie na mradi wa vitambulisho!

Yaani, hawahawa?

Kuna uwezekano sisi tumerogwa, tunaumwa au tunawazimu!!! Nawaandikia barua... maana kama ni uhuni huu ndiyo halisi.. yes I mean Uhuni!!

Samahani kukazia kwenye issue moja, hii ya magari yaendayo kasi kwenye jiji la Dar es Salaam nasuburia na mimi Mwenyezi Mungu anipe uhai nione mwisho wa huo mradi.
 
Sisi ndiyo watu wa ajabu kweli duniani. Tumeumbwa kuamini geresha na ndani yetu kuna visumaku vya kukubali maneno matamu na ahadi zenye "nia nzuri".

Yaani, hawa hawa ambao hadi leo hii hawajatoa maelezo ya Kagoda tunataka tuamini kuwa leo wameokoka na wana nia nzuri!

Yaani, hawahawa ambao hawajamaliza suala la rada tunataka kuwapa la kitambulisho

Yaani, hawahawa ambao hawajamaliza la Minara Pacha, leo wanakuja na mradi mwingine tunatakiwa tukumbatie kwa sababu "una lengo zuri"!

Yaani, hawa hawa waliotuingiza kwenye Richmond kwa lengo zuri la kutupatia umeme ndiyo hawa hawa tunaambiwa tukubali tu kwa vile wana "mshauri mzuri!"

Yaani, hawahawa ambao hadi leo hii hawajatuelezea Shilingi trilioni moja iliyokwapuliwa BoT imeenda wapi, leo tunatakiwa tukubali wachukue bilioni 200 kwa mradi "muhimu wa TAifa!"

Yaani, hawahawa ambao wanataka kujenga flyover Dar, wanakuja na mradi mabasi yaendayo kasi lakini wameshindwa kufunga taa za kuongozea magari karibu kila kona za Jiji la Dar au miji mingine ati tunatakiwa tuwashangilie na mradi wa vitambulisho!

Yaani, hawahawa?

Kuna uwezekano sisi tumerogwa, tunaumwa au tunawazimu!!! Nawaandikia barua... maana kama ni uhuni huu ndiyo halisi.. yes I mean Uhuni!!

Mkuu,
Napata shida sana kuelewa kitu gani kinaendelea nchi hii na kipi tunaweza kukifanikisha. Tunashindina na kushangilia kushindwa kwa kila kitu tunachotaka kukifanya. Naona huu ungekuwa muda mzuri kupiga chini kila kitu na kujipanga upya. Kama watu wanautilia mradi shaka kabla hata haujaanza, na ukizingatia ni mradi wa mabilioni ya shilingi, kwa nini tusiusimamishe kwanza ili tujipange? Kwani una lengo la kuokoa maisha ya wananchi, kiasi kwamba tusipoutekeleza watateketea?:confused:
 
Kasheshe na Mzalendo;

Unapojadili issue lazima ujadili na watu au wataalamu ambao wanakuwa involved in the project. CV inayojiuza ni ile inayoonyesha huko nyuma uliwahi kufanya nini na kufanikiwa. Kama uliwahi kufeli kwenye project ni utata mtupu.

Naombeni mjibu hizo hoja zilizotolewa hapo juu. Kisha tuendelee.............

Fairplayer;

Planning & Execution are two different things; let compare apple to apple... Planner/Consultant and Constructor are two different role either.

Engineer and Technician are two different job, one can not do the job of the other effectively. Unakikumbusha mheshimiwa Sumaye... Mwaka fulani alivyomwambia mhandisi avue suti azame kwenye mtaro ya bomba la maji wakati huo maji yalivyokosekana Dar....

Kazi aliyofanya ambayo ndio munayoitumia si equivalent na ambayo atafanya.

Yeye ni Mshauri, they have better general understanding of the technology to be used! Atakaye implement ni constructor.

Suala la kufeli miradi iliyopita unless iwe mingi ndio nitatilia shaka... lakini suala la ku-feli sio tatizo, taizo ni kutojifunza baada ya ku-feli.

Kuhusu Maswali ya huyo mheshimiwa mwingine.


ukatae kuwa kyaruzi hakushindwa na mradi wa smart card pale mlimani

Kwangu hili sio tatizo, unless uwe na riport independent ya kuonyesha alifeli kwa sababu gani? za mteja, za uwezo, wake, za financer etc?


  1. uthibitishe kuwa kyaruzi kafanikiwa kuwa dr
Kwa vyovyote background yako itakuwa kwenye academics, yes... kushindwa u-Dr. sio kushindwa kufanya kazi... watu wengi wanaoongoza makampuni na wanaofanya actual business consultants sio ma-doctor... hivyo... hili halina maana yoyote... Kuna Dr. kwenye hiyo Idara alikuwa ola kuliko Kyaruzi aliyekuwa na U-Dr.... it is just a crap statement.



  1. na ukatae kuwa kyaruzi si rafiki wa karibu wa maimu na hivyo kuufanya mradi wenyewe uwe wa maimu.
Sijui, na sioni umuhimu wake kwa sasa... only pale uchunguzi ukionyesha hiyo kampuni haina uwezo... then twende kwenye issue ya pia walikuwa marafiki.

---Kuchagua rafiki sio shida, shida ni kuchagua rafiki asiye na uwezo.
 
Kasheshe na Mzalendo;

Unapojadili issue lazima ujadili na watu au wataalamu ambao wanakuwa involved in the project. CV inayojiuza ni ile inayoonyesha huko nyuma uliwahi kufanya nini na kufanikiwa. Kama uliwahi kufeli kwenye project ni utata mtupu.

Naombeni mjibu hizo hoja zilizotolewa hapo juu. Kisha tuendelee.............

Mkubwa taratibu hapo.....
kwa elimu yangu ndogo naamini sio lazima kujadili mtu katika hoja,nasilazimishwi na mtu wala chombo chochote.weka hapa C.V za watu wako wote unaona wanaomzidi kyarusi then tuendelee.au naomba criteria ya mshauri mwelekezi wa mradi wa vitambulisho(chukua nchi yeyote)hiyo pia uweke hapa,elimu yangu inaweza kua ndogo sijui ya nje,siunajuwa wabongo wengi bado atujasafiri,matongotongo mengi machoni

KGM,
maswali yako nimeyasoma,hila ushauri mmoja tu,kama kyarusi ni mume mwenza au maimu hayo ndio maswali ya kuwauliza,au kama huko bongo anzisha kijala chako chamfumo wa OK kama uingereza tujue moja

kuhusu kufail kwa mradi wa vitambulisho vya pale UDSM,kweli hili swali linadhirisha nina uelewa mdogo wa haya mambo,lakini kwa wanaofaham UDSM hili sio swali,nazani Mkuuu kasheshe alisha changia,

Mkuu Mwanakijiji,
ningependa kuendelea kukueshimu ,lakini wakati mwingine unanipa wakati mgumu tena mgumu sana,kuchanganya siasa na utaalamu ni kuharibu jambo,ukitaka kufanya hivyo anza kuandika novels kama kina Tom Clancy,unayo gift ya kudramatise hata pasipo

kwa ambao sijawajibu,nimewapuuza kwa manufaa yao binafsi

Hitimisho:
Nilisema hii hoja aliyeileta ameleta jungu,bado na msimamo huo huo,sasa kinachonishangaza na elimu yangu finyu ni mtu analeta shutuma dhidi ya issue fulani badala kuiprove factually anagueza burden of proof kwa anaeipinga,kwanini isiewe vinginevyo,mie ninazo facts,wa mwage ugali ni mwage mboga,sio kila mtu angushe kilio tu kama mtoto mdogo,

nina swali moja tu,kama wewe ulitembea pekupeku kwenda shule,mwanao lazma atembee pekupeku?

Mungu ibariki Tanzania,
 
Kwa ufafanuzi:
Azimio la zanzibar linaruhusu watumishi wa umma kufanya biashara-mradi usiende kinyume cha taratibu za utawala bora.
Nikiwa mtumishi wa UMMA ningependa KUSISITIZA UMUHIMU WA NATIONAL IDs, kwa kweli kutokuwepo kwake kunapelekea mambo mengi sana kutofanyika kwa ufanisi ikiwemo gharama kubwa kwa kurudia mazoezi kadhaa mf sensa, usajili katika mifuko ye pensheni, bima za afya nk.
National Ids zina faida nyingi nadhani maradi hauna tatizo-suala kubwa ni UTAWALA BORA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI.Tupige kelele huko kwenye UTARATIBU NA MCHAKATO WA ZABUNI na sio kwamba hatuhitaji IDs ?
 
Kwa ufafanuzi:
Azimio la zanzibar linaruhusu watumishi wa umma kufanya biashara-mradi usiende kinyume cha taratibu za utawala bora.
Nikiwa mtumishi wa UMMA ningependa KUSISITIZA UMUHIMU WA NATIONAL IDs, kwa kweli kutokuwepo kwake kunapelekea mambo mengi sana kutofanyika kwa ufanisi ikiwemo gharama kubwa kwa kurudia mazoezi kadhaa mf sensa, usajili katika mifuko ye pensheni, bima za afya nk.
National Ids zina faida nyingi nadhani maradi hauna tatizo-suala kubwa ni UTAWALA BORA KATIKA UTEKELEZAJI WA MRADI.Tupige kelele huko kwenye UTARATIBU NA MCHAKATO WA ZABUNI na sio kwamba hatuhitaji IDs ?

Sasa kama inaonekana kuna bundi tayari katua kwenye huo mradi pamoja na umuhimu wake tufanyeje??
 
VYOMBO VYA UMMA VIPO-PPRA wanaweza kabisa ku review the process na kupendekeza cha kufanya, kizuri kwenye hili mradi bado uko kwenye hatua za awali!!!
 
Mkuu Mzalendo na Kasheshe;

Niwasoma na nimewaelewa. Ngoja nitafute data nyingine. Kuhusu Phd sio issue kwangu. Most successful CEOs wana degree moja tu.

Asanteni
 
Kasheshe: Kidogo naomba kuchangia, kuwa mshauri wa mradi sio suala dogo. kwa tafsiri nyingine huwezi kumtenganisha mshauri wa mradi uliokwama na mtekelezaji wa mradi. Otherwise unahitaji kujua zaid kuhusu Project Management.

Fairplayer;

Planning & Execution are two different things; let compare apple to apple... Planner/Consultant and Constructor are two different role either.

Engineer and Technician are two different job, one can not do the job of the other effectively. Unakikumbusha mheshimiwa Sumaye... Mwaka fulani alivyomwambia mhandisi avue suti azame kwenye mtaro ya bomba la maji wakati huo maji yalivyokosekana Dar....

Kazi aliyofanya ambayo ndio munayoitumia si equivalent na ambayo atafanya.

Yeye ni Mshauri, they have better general understanding of the technology to be used! Atakaye implement ni constructor.

Suala la kufeli miradi iliyopita unless iwe mingi ndio nitatilia shaka... lakini suala la ku-feli sio tatizo, taizo ni kutojifunza baada ya ku-feli.

Kuhusu Maswali ya huyo mheshimiwa mwingine.




Kwangu hili sio tatizo, unless uwe na riport independent ya kuonyesha alifeli kwa sababu gani? za mteja, za uwezo, wake, za financer etc?



Kwa vyovyote background yako itakuwa kwenye academics, yes... kushindwa u-Dr. sio kushindwa kufanya kazi... watu wengi wanaoongoza makampuni na wanaofanya actual business consultants sio ma-doctor... hivyo... hili halina maana yoyote... Kuna Dr. kwenye hiyo Idara alikuwa ola kuliko Kyaruzi aliyekuwa na U-Dr.... it is just a crap statement.




Sijui, na sioni umuhimu wake kwa sasa... only pale uchunguzi ukionyesha hiyo kampuni haina uwezo... then twende kwenye issue ya pia walikuwa marafiki.

---Kuchagua rafiki sio shida, shida ni kuchagua rafiki asiye na uwezo.
 
Kasheshe: Kidogo naomba kuchangia, kuwa mshauri wa mradi sio suala dogo. kwa tafsiri nyingine huwezi kumtenganisha mshauri wa mradi uliokwama na mtekelezaji wa mradi. Otherwise unahitaji kujua zaid kuhusu Project Management.

Mzee... kuonyesha naelewa naomba nikupe mfano mmoja tu...

Kuna kampuni inaitwa Norconsult, imekuwa inafanya kazi ya consultation kwenye miradi mingi mikubwa ya barabara kama consultant na wakati mwingine project manager.

Sasa swali. uliwahi kusikia lini hili kampuni lina matingatinga ya kutengeneza barabara, au wapi walitengeneza barabara ya KM moja?

Hivyo nasema kuwa consultant au project managers... sio lazima uwe na uwezo wa kujenga barabara.... hivyo Kyaruzi kufeli kama constructor au implementer sio lazima ashindwe pia kwenye consultation.
 
Mzee... kuonyesha naelewa naomba nikupe mfano mmoja tu...

Kuna kampuni inaitwa Norconsult, imekuwa inafanya kazi ya consultation kwenye miradi mingi mikubwa ya barabara kama consultant na wakati mwingine project manager.

Sasa swali. uliwahi kusikia lini hili kampuni lina matingatinga ya kutengeneza barabara, au wapi walitengeneza barabara ya KM moja?

Hivyo nasema kuwa consultant au project managers... sio lazima uwe na uwezo wa kujenga barabara.... hivyo Kyaruzi kufeli kama constructor au implementer sio lazima ashindwe pia kwenye consultation.

Mimi si mtaalamu wa mambo ya project and consultations ila naomba msaada kidogo hapa. Kama mtu ni consultant na mradi anaoutolea huduma ukafeli anapata lawama kiasi gani (1%, 20% .....)? :confused:
 
Back
Top Bottom