Mkulo hili lako

nard

Member
Nov 10, 2011
28
28
Ndugu zangu watanzania mara nyingi nimekuwa nikifuatilia habari za uchumi wa nchi yetu kwa karibu sana. Mengi nimeyasikia, nimeyasoma na mengine yanajithibitisha yenyewe! Kwa mfano mwezi Mei mwaka huu mh. Zitto alisema serikali imefilisika na haina fedha ya kutekeleza mambo mengine muhimu yaliyo kwenye bajeti waziri wa fedha akakanusha habari hizo. Nimethibitisha mwenyewe kwani ajira na madai ya walimu ni sehemu mojawapo ya mambo ambayo hayajatekelezeka! Tofauti na mawaziri na viongozi wengine wanaohusika kusema uongo kwa watanzania kuwa ajira "mwezi ujao" malipo ya madai "mwezi ujao " na mwezi unapofika msemaji anaingia mitini! Hivi sasa najiuliza mh Mkulo anasubiri mpaka Zitto au wanasiasa wengine wasimame jukwaani na kusema SERIKALI IMEFILISIKA ndiyo yeye akanushe au athibitishe? kwa nini asituambie hali halisi ya nchi? kuna haja gani ya yeye kuwa waziri kama anashindwa kutekeleza majukumu yake? Lakini kwa kukaa kwake kimya nimeamini "serikali imefilisika" na yeye anaona haya kusema ukweli kwani alishakana mwanzoni.
 
Ndugu zangu watanzania mara nyingi nimekuwa nikifuatilia habari za uchumi wa nchi yetu kwa karibu sana. Mengi nimeyasikia, nimeyasoma na mengine yanajithibitisha yenyewe! Kwa mfano mwezi Mei mwaka huu mh. Zitto alisema serikali imefilisika na haina fedha ya kutekeleza mambo mengine muhimu yaliyo kwenye bajeti waziri wa fedha akakanusha habari hizo. Nimethibitisha mwenyewe kwani ajira na madai ya walimu ni sehemu mojawapo ya mambo ambayo hayajatekelezeka! Tofauti na mawaziri na viongozi wengine wanaohusika kusema uongo kwa watanzania kuwa ajira "mwezi ujao" malipo ya madai "mwezi ujao " na mwezi unapofika msemaji anaingia mitini! Hivi sasa najiuliza mh Mkulo anasubiri mpaka Zitto au wanasiasa wengine wasimame jukwaani na kusema SERIKALI IMEFILISIKA ndiyo yeye akanushe au athibitishe? kwa nini asituambie hali halisi ya nchi? kuna haja gani ya yeye kuwa waziri kama anashindwa kutekeleza majukumu yake? Lakini kwa kukaa kwake kimya nimeamini "serikali imefilisika" na yeye anaona haya kusema ukweli kwani alishakana mwanzoni.

wananchi hawawezi ku-handle ukweli..hivyo njia rahisi ni kudanganywa..wananchi wakiambiwa ukweli patakuwa hapatoshi . Watu wanapenda ahadi ndicho serikali inachofanya..Kuna vitu vingine wanakwambia hupaswi kujua kw amani yako..wanasema wanaku ''protect''.
 
Mkulo ni msanii na muongo; hastahili kuwa waziri wa fedha kwenye serikali yeyote makini!
 
Back
Top Bottom