Mkubwa Fella marafiki wamemtenga baada ya kuugua

Mkubwa Fella marafiki wamemtenga baada ya kuugua

BIG BROTHER ALEX

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2025
Posts
1,293
Reaction score
2,214
Timu kataa NDOA, mmhhh haya, jamaa yetu anapiganiwa na mkewe, WAKUU NDOA SIO mbaya, SHIDA huanza unapo kosea kuchagua, HAPO NDO tatizo linapo tutafina vijana wengi, wkuangalia matrako, rangi, ujanja, uzuri nk, MKE WA fella kqnifurahisha SANA jinsi anvo pambana mumewe arudi barabarani kuendelea na shughuli zake za kila SIKU.

Mama HUYO pia anakumbana na CHANGQMOTO za hapa na pale, jambo lililo muibua, nakurusha lawama KWA baadhi ya MARAFIKI wa mumewe kuwa, WAMEMTENGA hawamjuli hali Sasa.

Mama HUYO amemtaja mbosso kama mmoja wa WATU pekee wanaojitolea KWA hali na Mali KWA said fella Sasa, HUKU akiwananga WENGINE kujikausha inasemekana diamond alimpeleka India kutibiwa lakini NAE Sasa kafunga vioo, kauli ambayo imepingwa vikali na WATU wakidai MSAADA WA MTU SI lazima HIVO SI busara kumlazimisha MTU ajitolee kupita UWEZO wake HIVO mama HUYO asinge paswa kujitokeza na kurusha lawama kiasi hicho kwani madhara ni makubwa kuliko faida. Nadhani mama HUYO ameangalia nafasi ya mondi KWA mumewe kabla ya kupata mtihani huo.

Kwa WASIOmjua said fella, alikuwa ni MENEJA WA DIAMOND, ni MTU MWENYE MICHANGO MKUBWA SANA, kwenye carrier ya mondi akiwa na babu tale, pia walisimamia vijana WENGINE kama ya moto band, kundi la muziki kipindi hicho akiwemo, mbosso, beka flavour, aslay, enock bella, wasanii WENGINE temba na chege, madee nk, pia alikua diwani kupitia ccm, akiipambania mbagala KWA jasho na hali.

Mpaka Sasa ugonjwa unaomsumbua haujulikani, ila tuendele kumuombea, MWENYEZI MUNGU amsimamie, MZEE WETU, AMINA

Screenshot_20260107-002102.jpg
 
Timu kataa NDOA, mmhhh haya, jamaa yetu anapiganiwa na mkewe, WAKUU NDOA SIO mbaya, SHIDA huanza unapo kosea kuchagua, HAPO NDO tatizo linapo tutafina vijana wengi, wkuangalia matrako, rangi, ujanja, uzuri nk, MKE WA fella kqnifurahisha SANA jinsi anvo pambana mumewe arudi barabarani kuendelea na shughuli zake za kila SIKU.


Mama HUYO pia anakumbana na CHANGQMOTO za hapa na pale, jambo lililo muibua, nakurusha lawama KWA baadhi ya MARAFIKI wa mumewe kuwa, WAMEMTENGA hawamjuli hali Sasa.


mama HUYO amemtaja mbosso kama mmoja wa WATU pekee wanaojitolea KWA hali na Mali KWA said fella Sasa, HUKU akiwananga WENGINE kujikausha inasemekana diamond alimpeleka India kutibiwa lakini NAE Sasa kafunga vioo, kauli ambayo imepingwa vikali na WATU wakidai MSAADA WA MTU SI lazima HIVO SI busara kumlazimisha MTU ajitolee kupita UWEZO wake HIVO mama HUYO asinge paswa kujitokeza na kurusha lawama kiasi hicho kwani madhara ni makubwa kuliko faida. Nadhani mama HUYO ameangalia nafasi ya mondi KWA mumewe kabla ya kupata mtihani huo.

Kwa WASIO mjua said fella, alikuwa ni MENEJA WA DIAMOND, ni MTU MWENYE MICHANGO MKUBWA SANA, kwenye carrier ya mondi akiwa na babu tale, pia walisimamia vijana WENGINE kama ya moto band, kundi la muziki kipindi hicho akiwemo, mbosso, beka flavour, aslay, enock bella, wasanii WENGINE temba na chege, madee nk, pia alikua diwani kupitia ccm, akiipambania mbagala KWA jasho na hali.

Mpaka Sasa ugonjwa unao msumbua haujulikani, ila tuendele kumuombea, MWENYEZI MUNGU amsimamie, MZEE WETU, AMINA,
Linawezekanaje jambo hili
 
Huyu si nilikuwa nasikia ni billionaire. Mbona gafla sana au hawa jamaa ambao wako kwenye industry ya sanaa pesa zao ni kutumbua tu na kula raha wakipata shida kidogo wanajua tu kukimbia kuomba msaada na kulialia hovyo.
Ila kiufupi huyu mzee ni kati ya watu hawastaili kabisa kulialia kwa muda aliokaa kwenye muziki
 
Timu kataa NDOA, mmhhh haya, jamaa yetu anapiganiwa na mkewe, WAKUU NDOA SIO mbaya, SHIDA huanza unapo kosea kuchagua, HAPO NDO tatizo linapo tutafina vijana wengi, wkuangalia matrako, rangi, ujanja, uzuri nk, MKE WA fella kqnifurahisha SANA jinsi anvo pambana mumewe arudi barabarani kuendelea na shughuli zake za kila SIKU.


Mama HUYO pia anakumbana na CHANGQMOTO za hapa na pale, jambo lililo muibua, nakurusha lawama KWA baadhi ya MARAFIKI wa mumewe kuwa, WAMEMTENGA hawamjuli hali Sasa.


mama HUYO amemtaja mbosso kama mmoja wa WATU pekee wanaojitolea KWA hali na Mali KWA said fella Sasa, HUKU akiwananga WENGINE kujikausha inasemekana diamond alimpeleka India kutibiwa lakini NAE Sasa kafunga vioo, kauli ambayo imepingwa vikali na WATU wakidai MSAADA WA MTU SI lazima HIVO SI busara kumlazimisha MTU ajitolee kupita UWEZO wake HIVO mama HUYO asinge paswa kujitokeza na kurusha lawama kiasi hicho kwani madhara ni makubwa kuliko faida. Nadhani mama HUYO ameangalia nafasi ya mondi KWA mumewe kabla ya kupata mtihani huo.

Kwa WASIO mjua said fella, alikuwa ni MENEJA WA DIAMOND, ni MTU MWENYE MICHANGO MKUBWA SANA, kwenye carrier ya mondi akiwa na babu tale, pia walisimamia vijana WENGINE kama ya moto band, kundi la muziki kipindi hicho akiwemo, mbosso, beka flavour, aslay, enock bella, wasanii WENGINE temba na chege, madee nk, pia alikua diwani kupitia ccm, akiipambania mbagala KWA jasho na hali.

Mpaka Sasa ugonjwa unao msumbua haujulikani, ila tuendele kumuombea, MWENYEZI MUNGU amsimamie, MZEE WETU, AMINA,
Mwambie mke wa Fella awe mpole na atulize makalio chini. Huyu Fella anafahamika kwa kudhulumu akina Juma Nature na TMK Wanaume kabla hawajasambaratika. Anafahamika pia kwa kuwanyonya Yamoto Band akisingizia anawajengea nyumba.

Kwa hiyo mwache Fella ale jeuri yake
 
Mwambie mke wa Fella awe mpole na atulize makalio chini. Huyu Fella anafahamika kwa kudhulumu akina Juma Nature na TMK Wanaume kabla hawajasambaratika. Anafahamika pia kwa kuwanyonya Yamoto Band akisingizia anawajengea nyumba.

Kwa hiyo mwache Fella ale jeuri yake
Hadi wakina nature wakaandika mshike mshike ndegr tunduni kukimbia unyonyaji wa huyo jamaa..ata mboso kumsaidia ana moyo sana.alipiga kwenye kuwajengea yamoto band nyumba
 
Back
Top Bottom