Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Wanajua humu kuna wajuaji sana, akiweka % za riba hawatawapata waliwao!Mbona mnakwepa kuweka % ya riba? Ukiiweka unitag
Wanajua humu kuna wajuaji sana, akiweka % za riba hawatawapata waliwao!Mbona mnakwepa kuweka % ya riba? Ukiiweka unitag
50% kudadadadadeki zenuMsijali jamani. Karibuni ofisini kwetu. Riba ni 50% tu.
watu wa kusema njoo pm karibu wote ni wezi au madalaliWawekee hizo info watu hapa ili waone kama kuna umuhimu wa kuja au la. Unatangaza kitu tangaza kwa ukamilifu wake siyo robo au nusu ya tangazo husika.
Maneno ya mkosajiwatu wa kusema njoo pm karibu wote ni wezi au madalali

Hatuwezi kubishana na watu wanaomiliki mb tu wenye vigezo wameshakuja wengi tu na wamefurahia hudumaWanajua humu kuna wajuaji sana, akiweka % za riba hawatawapata waliwao!
Sawa mkuu. Utawapata Mapungazeze tu, kidogo na Misukule!Hatuwezi kubishana na watu wanaomiliki mb tu wenye vigezo wameshakuja wengi tu na wamefurahia huduma
Kwanza wewe ukute hata vigezo vya kukopa huna hata ukija hukopesheki ndo maana maneno mengiSawa mkuu. Utawapata Mapungazeze tu, kidogo na Misukule!
Kama ni mfanyakazi hela mnakata direct kwenye mshahara?Kwanza wewe ukute hata vigezo vya kukopa huna hata ukija hukopesheki ndo maana maneno mengi
NdiyoKama ni mfanyakazi hela mnakata direct kwenye mshahara?
Wateja wanasumbua sana kwenye marejesho sisi tukaja na njia mbadala ya kuwabana kila mwezi lazima marejesho yajeSiku hizi mtu ukiwa na milioni 10 tu tayari unaweza kuanzisha 'kampuni' ya ukopeshaji. Biashara hii inalipa sana kwa sasa kutokana na hali ya maisha kuwa ngumu. Ukifanikiwa kuwabana wateja wako wakaleta marejesho kwa wakati, milioni 10 yako inaweza kukuzalishia zaidi ya milioni 100 ndani ya miaka miwili tu. Karibuni kwenye biashara hii at your own risk.
Niko arusha vp hamna office huku?SEGUIN CREDIT INVESTMENTS
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura
b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara
c) Ada za shule.
- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.
Fika ofsini kwetu Keko Dar aunt njoo PM kwa maelezo zaidi
Pm for more information
ExactlyKwa nini unataka kutuharibia jina?? Kama huna cha kuandika kwa nini usikae kimya kuliko kuandika uongo![]()
Nataka na mm10% ila uwe mfanyakazi sio mjasiliamali
Tupo Arusha pia karibuNiko arusha vp hamna office huku?
Kama hujasema riba ni kiasi gani per time basi hili tangazo ni Kama udakuSEGUIN CREDIT INVESTMENTS
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura
b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara
c) Ada za shule.
- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.
Fika ofsini kwetu Keko Dar au njoo PM kwa maelezo zaidi
Pm for more information