Mkopo wa riba nafuu

Mkopo wa riba nafuu

Kwa nini unataka kutuharibia jina?? Kama huna cha kuandika kwa nini usikae kimya kuliko kuandika uongo
Kwendraaaaa biashara unajiharibia mwenyewe unaficha riba kama waficha makalio kwani inahitaji siri!!!!! Kama ni siri usingeandika hapa
 
10% ila uwe mfanyakazi sio mjasiliamali
10% kwa mwezi???? au, jaribu kuwa professional kidogo kwa kutoa maelezo yaliyonyooka yaan mtu aelewe, humu kuna watu wako serious na utapata wateja wengi tuu. Mimi biashara zangu nafanyia humu kwa account tofauti na wateja wanapiga simu kila uchao ila ni kuwa specific sio kuzugazuga.
 
Kama 10% kwa mwenzi it means ni 120% kwa mwaka....yaan ukikopa 1,000,000 utalipa riba 1,200,000 kwa mwaka. Au utalipa jumla 2,200,000 ( mkopo+riba)
 
Kama 10% kwa mwenzi it means ni 120% kwa mwaka....yaan ukikopa 1,000,000 utalipa riba 1,200,000 kwa mwaka. Au utalipa jumla 2,200,000 ( mkopo+riba)
Hatutoi mkopo zaidi ya miezi 6 na riba yetu ni 40% kwa marejesho yote
 
Kwendraaaaa biashara unajiharibia mwenyewe unaficha riba kama waficha makalio kwani inahitaji siri!!!!! Kama ni siri usingeandika hapa
Kwa hiyo ulivyosema umekuja ulikuja lini na saa ngapi?? Au ulikua unatufuta kiki? Mxieee
 
EDNEY CREDIT CO LTD
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura

b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara

c) Ada za shule.

- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.

VIAMBATANISHO:
1. _KITAMBULISHO CHA TAIFA_

2. _KITAMBULISHO CHA KAZI_

3. _BARUA YA AJIRA NA KUTHIBITISHWA KAZINI_

4. _Taarifa ya mshahara ya miezi mitatu (salary slip)_

5. _BANK STATEMENT YA MIEZI MINNE_

6. _PASSPORT SIZE 2_

Fika ofsini kwetu Keko Dar

E-mail: edney@gmail.com

UPDATE:
Mkopo yote ni 40% kwa marejesho yote. Kiasi chochote utakachokopa utarejesha 40%
Mtawapata tu.
 
Okay tuendelee basi make namie sina kazi
Enheee Kwahiyo kwa mwaka nalipa 120% dada afisa
Hapana mkuu, kwa miezi sita ukichukua million basi urudishe million 1.4 ndani ya miezi sita.Faida ni Tshs 400000. Mkiwa kumi mtu ana milioni zake 4 kama faida ndani ya miezi sita...Mkiwa ishirini mtu ana milioni zake 8 kama faida ndani ya miezi sita! Jamani huo si wizi?
 
Back
Top Bottom