Sekta binafsi piaNi watumishi wa serikali pekee au pamoja na sekta nyingine
HapanaMilioni 900 hamtoi?
Huna haya wewe nimekujibu pm ipi au umetumwa?45% kanijibu hivyo p.m.. ngoja niweke screen shoot... hapo c bora niendelee kulima kitunguu

Kwanza hatukopeshi walima vitunguu45% kanijibu hivyo p.m.. ngoja niweke screen shoot... hapo c bora niendelee kulima kitunguu
Jaribu kuwa na majibu mazuri kwa wateja wako ata kama wanakujibu vibaya jua unaonyesha hapa ni watu wa namna gani mpo kwenye hiyo kampuniKwanza hatukopeshi walima vitunguu
Mpaka hapa ushafeli tayari!Kwanza hatukopeshi walima vitunguu
nataka nikope nikuhonge wewe mwenyeweKwanza hatukopeshi walima vitunguu
umenijibu hivyo P.M mbona unakua janja janja au niweke P.m yako hapa..😉😉😉😉😉😉Huna haya wewe nimekujibu pm ipi au umetumwa?![]()
![]()
![]()
daah kweli mkuu walima kitunguu, tikiti na hoho tunabaguliwa sana na jamii...😱😱😱😱Mpaka hapa ushafeli tayari!
Umebagua na kudharau wateja.
Ungekuwa muwazi kwa kuweka masharti yote ya kukopwa na vile vile hizo dakika 15 ni baada ya kukamilisha masharti yenuSEGUIN CREDIT INVESTMENTS
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura
b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara
c) Ada za shule.
- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.
Fika ofsini kwetu Keko Dar au njoo PM kwa maelezo zaidi
Pm for more information
riba ni % ngapi?SEGUIN CREDIT INVESTMENTS
Inapenda kuwataarifu watumishi wa idara zote za serikali kuwa inatoa mikopo ifuatayo ndani ya dakika 15 tu:
a) Mikopo ya dharura
b) Mikopo ya mtaji au kupanua biashara
c) Ada za shule.
- Mikopo inayotolewa ni kuanzia Tsh 100,000 hadi 1,000,000 kwa riba nafuu sana.
- Muda wa marejesho ni kuanzia miezi mitatu hadi sita.
Fika ofsini kwetu Keko Dar au njoo PM kwa maelezo zaidi
Pm for more information