Comrade Liu Yang
Senior Member
- Aug 16, 2023
- 145
- 242
Habari zenu wana jamiii, ni matumaini yangu mu wazima wa afya tele.
Nina Shida ya Pesa ya dharura nimejaribu kukopa kwa watu binafsi hawana, katika taasisi nao wanahitaji dhamana (hasa nyumba).
Nimefika Bank CRDB nimewambia hitaji langu,wakaniambia mahitaji kwa mfanyabiashara kama mimi, Vyote walivyo taja ninavyo na vinapatikana 100%
Kitu ambacho mpaka sasa kinanikosesha huu Mkopo ni DHAMANA ya nyumba.
Kiwanja ninacho lakini hawataki kiwanja ambacho hakijaendelezwa na mimi sijajenga.
Hivyo wameniambia nitafute mdhamini atakaeweza nidhamini mwenye Nyumba.
Nimekileta HAPA JamiiForums nikiamini kuja watu wengi ambao mpo mtaweza nisaidia katika hili.
Nina uhitaji wa Mil.10 lakini CRDB wameangalia Account na kusema wanaweza nipa up to 20Mil.
Kwa atakae nidhamini nilikua nimepanga Kumpa 3m (kama asante) hiii nitampa yeye na hatoirudsha.
Kurudisha mkopo Aniachie Mimi nitaurudsha wote.
Au
Nichukue 20m tugawane 50/50 lakini kurejesha turejeshe wote "tusaidiane"
Naomba kwa yeyote anaeweza nisaidia nitashukuru hata kama Si kwa nyumba basi mtu atakae weza nisaidia mahali naweza jidhamini kwa biashara yangu na mali zangu zingine nikapata huo mkopo nitashukuru pia.
Hitaji Langu kubwa ni 10m TU. Asante kwa yeyote atakaeweza nisaidia fanikisha hili jambo.
MREJESHO :
Si kila mtu ana mashaka kuna watu wana nia ya kusaidia wenye uhitaji. Nimefanikiwa kupata mtu wa kunipa Nyumba yenye HATI lakini kikwazo kikawa BANK tena.
Bank hawataki dhamana ya nyumba ya mtu asie familia yako kwahiyo wameikataa nyumba na kusema ni lazima nyumba iwe ya Baba,mama,mtoto,mke,mume. na si nnje ya hapo.
Asante kwa Aliejitoa na Asante kwa waliotilia shaka.
Nina Shida ya Pesa ya dharura nimejaribu kukopa kwa watu binafsi hawana, katika taasisi nao wanahitaji dhamana (hasa nyumba).
Nimefika Bank CRDB nimewambia hitaji langu,wakaniambia mahitaji kwa mfanyabiashara kama mimi, Vyote walivyo taja ninavyo na vinapatikana 100%
Kitu ambacho mpaka sasa kinanikosesha huu Mkopo ni DHAMANA ya nyumba.
Kiwanja ninacho lakini hawataki kiwanja ambacho hakijaendelezwa na mimi sijajenga.
Hivyo wameniambia nitafute mdhamini atakaeweza nidhamini mwenye Nyumba.
Nimekileta HAPA JamiiForums nikiamini kuja watu wengi ambao mpo mtaweza nisaidia katika hili.
Nina uhitaji wa Mil.10 lakini CRDB wameangalia Account na kusema wanaweza nipa up to 20Mil.
Kwa atakae nidhamini nilikua nimepanga Kumpa 3m (kama asante) hiii nitampa yeye na hatoirudsha.
Kurudisha mkopo Aniachie Mimi nitaurudsha wote.
Au
Nichukue 20m tugawane 50/50 lakini kurejesha turejeshe wote "tusaidiane"
Naomba kwa yeyote anaeweza nisaidia nitashukuru hata kama Si kwa nyumba basi mtu atakae weza nisaidia mahali naweza jidhamini kwa biashara yangu na mali zangu zingine nikapata huo mkopo nitashukuru pia.
Hitaji Langu kubwa ni 10m TU. Asante kwa yeyote atakaeweza nisaidia fanikisha hili jambo.
MREJESHO :
Si kila mtu ana mashaka kuna watu wana nia ya kusaidia wenye uhitaji. Nimefanikiwa kupata mtu wa kunipa Nyumba yenye HATI lakini kikwazo kikawa BANK tena.
Bank hawataki dhamana ya nyumba ya mtu asie familia yako kwahiyo wameikataa nyumba na kusema ni lazima nyumba iwe ya Baba,mama,mtoto,mke,mume. na si nnje ya hapo.
Asante kwa Aliejitoa na Asante kwa waliotilia shaka.