Fbn
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 15,759
- 37,367
Mkoa wa Tabora ni mkubwa sana! Kuna vijiji hata mkuu wa mkoa amalize muda wake kuvifikia ni ngumu.
Mkoa wa Tabora mkiupunguza na kutengeneza mikoa mtasaidia kufikisha huduma, leo nimeshangaa kuona watu Tabora kama Kaliua wakija Kahama kupata huduma ya afya.
Tabora kuna wahamiaji wengi wamejificha huko ususani warundi, wanyaruanda na wakongo, kuna vijiji na mapori mengi mpaka kuna sehemu huduma ni ngumu kufikia.
Serikali tambueni ili.
Mkoa wa Tabora mkiupunguza na kutengeneza mikoa mtasaidia kufikisha huduma, leo nimeshangaa kuona watu Tabora kama Kaliua wakija Kahama kupata huduma ya afya.
Tabora kuna wahamiaji wengi wamejificha huko ususani warundi, wanyaruanda na wakongo, kuna vijiji na mapori mengi mpaka kuna sehemu huduma ni ngumu kufikia.
Serikali tambueni ili.