Mkoa wa Tabora upunguzwe ukubwa

Mkoa wa Tabora upunguzwe ukubwa

Igunga, Nzega na Uyui ziunde mkoa wao. Zinaweza kuzaa wilaya 5 au 6 kwa kugawanya Nzega na Uyui. Nzega iwe mkoa
Uyui haiwezi kutoka Tabora maana imekodoleana na Manspaa ya Tabora. Hapo ni kuitoa tu Nzega na Igunga na kuongeza wilaya ya Bukene na kuunda mkoa wa Nzega. Vinginevyo hakuna namna jiografia yake imekaa vibaya
 
My God mtu atoke Sikonge aende Nzega Makao Makuu ya mkoa ! Kama hujui jiografia ya mkoa huu ni bora kupita kimya bila kucomment
Mbona mkoa wa Pwani na Manyara inawezekana? Kutoka simanjiro kwenda babati ni lazima uingie moshi uelekee arusha kisha ufike babati kwa gari. Any way sikonge iko kusini na katikati kuna wilaya nyingine ambayo iko karibu na nzega isiwe taabu hiyo wilaya iungane upande wa nzega ili kukamilisha idadi ya watu wanaofanya sifa ya kupatiwa mkoa
 
Mkoa wa Njombe ukumbukwe ni mkubwa sana hebu fikiria kutoka Njombe mjini hadi Makete na Ludewa ni 100Kms.
 
Huwa nikiiangalia wilaya ya Uyui ,nakosa majibu kabisa' ,hivi kweli walikaa wakafikiri namna ya kuipa boundaries zake?

Ile Wilaya Ni shida haijulikani mwisho wake wapi mwanzo wake wapi. Mtu aliyepo Tura yupo Wilaya ya Uyui, na ili afike makao makuu ya Wilaya lazima afike Tabora mjini kwanza ndio Sasa aanze Safari ya Kwenda ilalalwanshimba. Unatoa uyui unaingia Wilaya ya Tabora halafu unaingia Tena uyui.
 
Wananchi wanahitaji service delivers SIO utitiri wa mikoa au wilaya nchi hii ilitakiwa iwe na mikoa 8 tu,ukubwa wa serikali yetu ni mkubwa mno,Zimbabwe wana chini ya 15 Botswana chini ya 15,Zambia chini ya 15,Namibia [emoji1176] chini ya 15,na nchi zote hizi hazitofautiani sana na ukubwa wa nchi na Tanzania yetu hii,na nchi zote hizo zinapiga hatua kimaendeleo kuliko sisi wenye mikoa zaidi ya 25 na wilaya zaidi ya 100 huu ni upuuzi, huku lingusenguse tunahitaji huduma bora za kielimu maji, matibabu, usafiri etc etc sio kuniongezea kodi nyingine ya kulipa watumishi wa mkoa mpya
Well spoken
 
Igunga, Nzega na Uyui ziunde mkoa wao. Zinaweza kuzaa wilaya 5 au 6 kwa kugawanya Nzega na Uyui. Nzega iwe mkoa
Mkoa unaotaka kuundwa hapo utakusanya nzega,bukene,igunga,ile puge na ndala vitaunda wilaya Kisha mkoa utakua na jina la ule mto baina ya igunga na nzega nimeusahau jina
 
Wenzetu burundi wanapunguza mikoa kutoka 18 ya sasa hadi mitano sisi tuna waza kuongeza.utakuja mtu na hoja burundi nindogo sawa na mkoa mmoja wa tanzania,nikweli.lakini kama tuna ongeza tuzingatie population,uwezo wa kiuchumi,geographia na isiwe utash wakisiasa pekee kama ilivyo zoeleka.
Burundi ni ndogo kwa mkoa wa tabora
 
Hivi unajua hata hii SGR Mwanza-Isaka (Kahama) wala haiishii Isaka bali inaishia Iboja kata ya Sigili (Nzega).

Nahisi sehemu ya Nzega DC inaenda kumegwa iwe Msalala DC (Kahama).

Juzi Dr Mpango kaenda kuweka jiwe la msingi SGR Isaka-Tabora pale mji wa Isaka viwanja vya parking ambako reli hata halitafika.

Kwenye karatasi station itakuwa Isaka-Kahama ila kinachoendelea site,station itajengwa Iboja-Nzega na maeneo yameshatwaliwa.

Je hakutakuwepo mgogoro ukusanyaji mapato kati ya Nzega DC na Msalala DC kwa station kujengwa Nzega huku kwenye makaratasi station ipo Msalala?
Huko ita kua ni station ndogo,station kubwa yenye hadhi ya mkoa inajengwa isaka na kampuni ya kichina crcc.iyo alozindua mpango ni ya waturuk wao hawajebg station isaka.
 
Huko ita kua ni station ndogo,station kubwa yenye hadhi ya mkoa inajengwa isaka na kampuni ya kichina crcc.iyo alozindua mpango ni ya waturuk wao hawajebg station isaka.
Umefika site hapo Isaka?

Hao wachina hawajapita Isaka kabisa ndiyo nawazungumzia mimi,wamepita Mashariki ya mji wa Isaka vijiji vya Ntungulu na Igwata wakaingia mkoa wa Tabora na mwisho wao ni hicho Kijiji cha Iboja kitongoji cha Bulyasungwi.

Eneo linalodaiwa la station lililochukuliwa na wachina lipo mpaka wa Isaka na Iboja (Nzega) ila upande wa Iboja.
 
Umefika site hapo Isaka?

Hao wachina hawajapita Isaka kabisa ndiyo nawazungumzia mimi,wamepita Mashariki ya mji wa Isaka vijiji vya Ntungulu na Igwata wakaingia mkoa wa Tabora na mwisho wao ni hicho Kijiji cha Iboja kitongoji cha Bulyasungwi.

Eneo linalodaiwa la station lililochukuliwa na wachina lipo mpaka wa Isaka na Iboja (Nzega) ila upande wa Iboja.
Ukiona stracture ya namna hii ndo ujue isaka station,ukiona haiko ivyo ujue iyo nistation ndogo2 inajengwa.by ze way ntungulu iko isaka hawawez kujenga station ya namna hii katkat ya zilenyumba pale isaka,lazma waitoe nje ya mji.kama walivyo fanya moro,na dom.we mwenyewe huna uhakika ndo maana una sema inasemekana.
 

Attachments

  • PMO_8631.jpg
    PMO_8631.jpg
    518.8 KB · Views: 15
Mkoa unaotaka kuundwa hapo utakusanya nzega,bukene,igunga,ile puge na ndala vitaunda wilaya Kisha mkoa utakua na jina la ule mto baina ya igunga na nzega nimeusahau jina
Wana taka mkoa uitwe manonga,na wako walotaka mkoa uitwe nzega,ilikua ni mgogoro haswa ndo maana selikali ikasitisha kuugawa mkoa.
 
Back
Top Bottom