reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,828
- 21,938
Ulabu🤣🤣🤣, alitaka mikoa ikate kona
Ulabu🤣🤣🤣, alitaka mikoa ikate kona
Wenzetu burundi wanapunguza mikoa kutoka 18 ya sasa hadi mitano sisi tuna waza kuongeza.utakuja mtu na hoja burundi nindogo sawa na mkoa mmoja wa tanzania,nikweli.lakini kama tuna ongeza tuzingatie population,uwezo wa kiuchumi,geographia na isiwe utash wakisiasa pekee kama ilivyo zoeleka.Ili kuharakisha maendeleo, utazamwe uwezekano wa wilaya ya Iramba, Nzega na Igunga kuunda mkoa mpya. Mkoa wa Igunga.
Mkuu ni baadhi ya vipande korofi,syo haba serikali imejenga lami na kumwaga changarawe. noah ndyo usafiri mzuri na wa haraka kwa maeneo yale.Vip Barbara za moro mfano huko mlimba zinapitika kweli? Tuweke probox zetu
Cha muhimu ni kufikisha huduma kwa wananchi bila kubagua kutokana na mahitaji yao. Badala ya kugawa mikoa mimi naamini twende na sera ya kuunganisha mikoa na kuja na mfumo wa utawala wa MAJIMBO. Tuwe na majimbo 8-10 na kila jimbo na serikali yake vyote chini ya serikali kuu.Hivi morogoro mnaijua vizuri kweli wadau? Kutoka moro mjini mpaka mlimba ni kilomita 395.hapo utaona namna gani watu wanapata ugum wa kufuata huduma za kijamii. waangalie na huu mkoa ase
Lami imewekwa lini kwenye barabara ya Mlimba ?Mkuu ni baadhi ya vipande korofi,syo haba serikali imejenga lami na kumwaga changarawe. noah ndyo usafiri mzuri na wa haraka kwa maeneo yale.
Baadhi ya vipande. Kuanzia mang'ula,ifakara,njia panda ya kwenda mahenge hapo katikati kuna vipande vya lami. Achana na njia ya kwenda mahenge kunja kulia kuelekea mlimba kuna kibaoni,mbingu,mlimba yenyewe mpaka bwawa la kihansi pia maeneo hayo kuna vipande vya lamiLami imewekwa lini kwenye barabara ya Mlimba ?
Naomba kidogo nipingane na wewe maana nilikuwa Tabora ktk mradi wa maji nafikiri utendaji wawatendaji wetu ndio changamoto, sababu ya mtu kutoka upande mmoja kwenda upande mwingine kupata huduma hiyo sio changamoto ya ukubwa wa eneo hayo nimapungufu ya upatikanaji wa huduma stahiki.Mkoa wa Tabora ni mkubwa sana! Kuna vijiji hata mkuu wa mkoa amalize muda wake kuvifikia ni ngumu.
Mkoa wa Tabora mkiupunguza na kutengeneza mikoa mtasaidia kufikisha huduma, leo nimeshangaa kuona watu Tabora kama Kaliua wakija Kahama kupata huduma ya afya.
Tabora kuna wahamiaji wengi wamejificha huko ususani warundi, wanyaruanda na wakongo, kuna vijiji na mapori mengi mpaka kuna sehemu huduma ni ngumu kufikia.
Serikali tambueni ili.
Mkuu ni baadhi ya vipande korofi,syo haba serikali imejenga lami na kumwaga changarawe. noah ndyo usafiri mzuri na wa haraka kwa maeneo yale.
Soma mwenyewe uone, Barua HiiBasi usimalize kusoma basi usimalize kusoma
Ujue ukisoma moyo wangu unauchoma
Basi toa mapendekezo!!!!!Mkoa wa Tabora ni mkubwa sana! Kuna vijiji hata mkuu wa mkoa amalize muda wake kuvifikia ni ngumu.
Mkoa wa Tabora mkiupunguza na kutengeneza mikoa mtasaidia kufikisha huduma, leo nimeshangaa kuona watu Tabora kama Kaliua wakija Kahama kupata huduma ya afya.
Tabora kuna wahamiaji wengi wamejificha huko ususani warundi, wanyaruanda na wakongo, kuna vijiji na mapori mengi mpaka kuna sehemu huduma ni ngumu kufikia.
Serikali tambueni ili.
Kwa hiyo laana ni kigezo cha kuipa sehemu kuwa mkoa?.Hata dar es salaam waigawe mkoa umekuwa na laana nyingi
Jiografia na mpangilio wa hizo sehemu ulizozitaja unajua kweli?🙄🙄Sikonge,kaliua igunga na nzega hizi wilaya ziunde mkoa mpya na makao makuu ya mkoa yawe nzega
Ni Sawa kwa Burundi kupunguza mikoa maana kwa nchi ya Burundi hakuna barabara yenye umbali wa km zaidi ya 250 ukizidi hapo ujue upo nje ya Burundi...Wenzetu burundi wanapunguza mikoa kutoka 18 ya sasa hadi mitano sisi tuna waza kuongeza.utakuja mtu na hoja burundi nindogo sawa na mkoa mmoja wa tanzania,nikweli.lakini kama tuna ongeza tuzingatie population,uwezo wa kiuchumi,geographia na isiwe utash wakisiasa pekee kama ilivyo zoeleka.
Wadekaji wakubwa wale wanategemea kuanzisha mkoa hawajui namna ya kuanzisha wamenyimwa na majirani zao kumega mega mikoa ya wengineWamegeeni ardhi wanaotaka kuanzisha mkoa wa Chato!