Yeah,mkoa utaitwa manonga,waliogoma mkoa kuitwa nzega wagonjwa akili, sababu igunga ilikua sehemu ya nzega,bukene na ndala mpaka Leo no nzegaWana taka mkoa uitwe manonga,na wako walotaka mkoa uitwe nzega,ilikua ni mgogoro haswa ndo maana selikali ikasitisha kuugawa mkoa.