Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Mkuu mabinti wa kichagga wapo makini sana kwenye swala la ndoa mkuu ukichumbia demu wa kichagga lazima utaoa tu wanajua kukamata wanaume wajanja sana kama wewe wazo lako lilikuwa kupiga na kusepa aaah utabanwa mpaka unatangaza ndoa kabisa.... nafikiri uchagani binti akiolewa kwa ndoa inaleta heshima sana....unajua hata binti akizaa nje lakini akimpata mwanaume aaah mzee atambana mpaka jamaa anatangaza ndoa ni wajanja sana kwa maswala ya mahusiano lakini sijui kwenye kuhandle ndoa zao alafu na maswala yetu yaleeeeeeeeee huko mmmmh.
heheheheh...Fidel80 ayo masuala yetu yaache kama yalivo watoto wasiamke....
Lakini kama ulivosema uchagani ndoa ni muhimu sana sana, wazee naona siku hizi wanapenda kwlei tripu za kuja Dar kwenye harusi.
Ulishahudhuria moja ukaona wanavozuga kwenye zawadi?