mmm...Belinda utanisababisha nichelewe ndege...see you next tyme..
Kweli bado tupo nyuma sana,wakati wenzetu wakifanya bidii kuangalia uwezekano wa kuishi mwezini,sisi bado tunadiscuss wasichana wazuri.We should change guys,hatuna muda huo,,,,,,tuna mambo ya msingi na maana zaidi kuliko hili la mabinti
1:Wezere 40kgChimo yeye katembelea mikoa yote. Jamani naomba kuuliza swali. Hivi wanaume wanapenda nini sana toka kwa wanawake? hasa unapochagua mchumba? Nafikiri tunatofautina sana kila kitu.
Uonyeshwe ufundi wa kushesha amaizi, wenzetu akina kaizer anaelewa. uwe tayari Belinda umeshaambiwa utafundishwa
Shem hapa inabidi uweke msisitizo watoto wa Kisukuma ni balaa!!
Jamani kuna wanyamwezi kutoka Tabora, hawa usiwapimie ni wazuri wa sura,warefu wa kutosha wanamaumbo ya kufa mtu. Kwa makea ndio usiseme
Kibs vipi sijaona choice zako....
acha zako wewe kazi na dawa........
Joyceline & Dageuche:
- Maji mnamaanisha nini?
Hapana niyinyi mmefika Bukoba mkawaona wadada????
.. yaani mguu na mkono vimelingana kwa unene? Halafu mrefu..yaani kama wewe mwanaume haujui hata kutamani ukienda Bkb nakuambia utatamani tu! Na siku hizi naskia ukimwi kule naskia umepungua!
Halafu ngozi laini na meno meupe?
Mkuu vp kule ukweni machame,marangu,kibosho ........hahaha mamiss wote wanatoka kule lakini hawa juu unamwona kajazia safiiii lakini chini sasa mguu ni chelewa.
Ni ukweli kuna msemo unaosema uzuri upo machoni kwa mtu. Lakini kuna uzuri mwingine upo machoni kwa kila mtu, yaani ni mzuri.
Jamani hata MBEYA kule kwa wanakyusa, wasafwa n.k kuna wazuri
Mmh! JF kazi kweli kweli toka mkoa wenye wasichana wazuri mpaka mafunzo, ha ha..
Kumbe na wewe ni toka huko huko!..Masa na Kaizer wamenichekesha sana..
Naona mkoa wangu haujatajwa,sijui hawajaona kweli
maslahi ya taifa mbele shem.......tehe tehe nimeona leo afande kazilamba zkaibia zoote na kaifungilia mbali thread.......hata mie kilaza nilimng'amua mbunge mtarajiwa.....na akienda kutoa sera zake za kujua watu JF huko jimboni kwake atapata kura za mzee JSM na mama KM pekee.....Shem kuna maslahi ya taifa kweli hapa!! Jana nilikuwa nafatilia posts zako jamaa wakawa wanazilamba zote eti unahusisha majina ya watu....anyway ameshtukiwa na hata watoto wa chekechea!
maslahi ya taifa mbele shem.......tehe tehe nimeona leo afande kazilamba zkaibia zoote na kaifungilia mbali thread.......hata mie kilaza nilimng'amua mbunge mtarajiwa.....na akienda kutoa sera zake za kujua watu JF huko jimboni kwake atapata kura za mzee JSM na mama KM pekee.....
Kweli bado tupo nyuma sana,wakati wenzetu wakifanya bidii kuangalia uwezekano wa kuishi mwezini,sisi bado tunadiscuss wasichana wazuri.We should change guys,hatuna muda huo,,,,,,tuna mambo ya msingi na maana zaidi kuliko hili la mabinti