Mkoa gani tz wanapenda sana nyama?

Mkoa gani tz wanapenda sana nyama?

Saint I bana!kidogo nikurupuke kutaja ni wagogo mkoa wa dodoma waliokomaa kula mpaka ng'ombe wenye RVF lakini kumbe hii nyama haipelekwi buchani!hatari tupu.
 
Wachagga.Wanapenda sana kitimoto, kuku, ng'ombe choma na mbuzi wamasai wanapenda sana nyama ila ya ng'ombe tu. Wahehe wanapenda sana nyama ya yule MNYAMA MLinZI. Wasukuma wanapenda nyama, ila ya ng'ombe na ziwani. Wahaya wanapenda sana nyama, ila kwa ajili ya KATERERO tu.
Mhhhhh!!! Nyama na katerero? Kuna uhusiano? Ngono na kula?
 
Wachagga.Wanapenda sana kitimoto, kuku, ng'ombe choma na mbuzi wamasai wanapenda sana nyama ila ya ng'ombe tu. Wahehe wanapenda sana nyama ya yule MNYAMA MLinZI. Wasukuma wanapenda nyama, ila ya ng'ombe na ziwani. Wahaya wanapenda sana nyama, ila kwa ajili ya KATERERO tu.
hahaaa MNYAMA MLINZI tehe umenichekesha saaana hapo!
 
Back
Top Bottom