Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,166
- 2,670
Kuna nyama fulani inaitwa nyama koboa! Kuna mtu anafahamu hii nyama?
wamasai ?wamasai wewe huwajui?
hatuijui tuambieKuna nyama fulani inaitwa nyama koboa! Kuna mtu anafahamu hii nyama?
kisa na mkasa?Nadhani yote..
Ila wengi tumelazimika kuwa Vegetarian ...
hahaa..nmakonde chi ntuWamakonde.
kuna wenzetu wasukuma wanakula vichwa vya samakiSaint I bana!kidogo nikurupuke kutaja ni wagogo mkoa wa dodoma waliokomaa kula mpaka ng'ombe wenye RVF lakini kumbe hii nyama haipelekwi buchani!hatari tupu.
huyu alishawahi kuibiwa n'gombe kule bagamoyoMe nafikiri ni kabila la baba nanihii wa magogoni!...
hahah ya panya sio? TANMO ni mmakondeWamakonde.