Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,551
- 86,147
Kuna binadamu ni wanafiki sana na wanapenda kufanya maigizo Kila kunapokua na issues za Wapenzi na mapenzi ambazo zimepelekea vifo.
Ninaamini waumini wa statement hii "mkichokana achaneni kwa Amani" ni wale ambao wako na Wapenzi ambao hawajawahi kuwapenda, kujitoa, kuwalea, kuwasitiri n.k.
Kwa mtu yoyote awe wa kike au wa kiume, ambaye anajitoa haswa kujenga family yake au kumtunza "Mpenzi" wake hawezi kuvumilia such nonsense KAMWE na kama yupo basi ni 1/100.
Tuacheni unafiki kwenye mambo ambayo hayajawahi kukuteni.
Ninaamini waumini wa statement hii "mkichokana achaneni kwa Amani" ni wale ambao wako na Wapenzi ambao hawajawahi kuwapenda, kujitoa, kuwalea, kuwasitiri n.k.
Kwa mtu yoyote awe wa kike au wa kiume, ambaye anajitoa haswa kujenga family yake au kumtunza "Mpenzi" wake hawezi kuvumilia such nonsense KAMWE na kama yupo basi ni 1/100.
Tuacheni unafiki kwenye mambo ambayo hayajawahi kukuteni.