Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Mkishangaa ya Chato msisahau ya Msoga

Huyo mshana mda mwingine anakuwa na mada nzuri , wakati mwingine anajisahau sababu ya unazi wa kisiasa.
Mada kama yake ilitakiwa aanzishe mtoto mdogo asiyejua historia ya hii nchi, ila cha ajabu mtu mzima ambaye ana heshimika na baadhi ya watu hapa JF ndio amekuwa wa kwanza kuanzisha mada ya kipumbavu na kishamba kabisa.

Tanzania ni moja , ikiendelezwa Chato , Msoga, Mbeya, Moshi, Arusha, Mwanza, Dodoma, kigoma, moro n.k yote ni maendeleo tu.


Sent using Jamii Forums mobile app
Akiulizwa afafanue anaruka ruka

Ila hamna kitu kitakachowashusha 'kaskazini' kama hio kujiskia wako smart kuliko wengine..matokeo yake wanarelax wanajiona wamefika wkt Tanzania wote ni 3rd world country😂😂😅

Sikuzote anayepiga hatua ni yule ambae anajiona hajafika...this applies to jamaa zote ambazo zilihisi kuachwa nyuma wana bidiii mfano hakuna siku hizi


Ni kama vile soko la simu sasa kila kitu ni iPhone na Samsung...ila Nokia na Blackberry ilitamba sana

Mtabaki historia...mark my words
Watasalimika watakaoendelea na bidii na maisha na kuishi vizuri na watu...si zama za ukabila sasa...ts abt value ya mtu na si kabila ama ukanda
 
Yes nimeandika hivyo wala siwezi kupingana na maandiko yangu.. Sijaanzisha chochote kinachotaja ukabila... Hii ni tafsiri yako unayotaka nikubaliane nayo.. Kitu ambacho sio sahihi

Jr
Sijataja kabila pia twendelee na hio 'kaskazini'
 
i assure you kwa ulikwengu wa sasa hamna jipya ambalo makabila wengine hawana kama lipo litaje hapa tumalize mzizi wa fitna
Sijataja kabila pia twendelee na hio 'kaskazini'
never mind about that typing... Hayo maandishi kaandika nani?

Jr
 
i assure you kwa ulikwengu wa sasa hamna jipya ambalo makabila wengine hawana kama lipo litaje hapa tumalize mzizi wa fitna

Jr
Mbona hujibu swali mshana
Tuache neno kabila twende na 'kaskazini'
Wana uelewa deep na maono...yapi?.tutajie
 
Akiulizwa afafanue anaruka ruka

Ila hamna kitu kitakachowashusha 'kaskazini' kama hio kujiskia wako smart kuliko wengine..matokeo yake wanarelax wanajiona wamefika wkt Tanzania wote ni 3rd world country

Sikuzote anayepiga hatua ni yule ambae anajiona hajafika...this applies to jamaa zote ambazo zilihisi kuachwa nyuma wana bidiii mfano hakuna siku hizi


Ni kama vile soko la simu sasa kila kitu ni iPhone na Samsung...ila Nokia na Blackberry ilitamba sana

Mtabaki historia...mark my words
Watasalimika watakaoendelea na bidii na maisha na kuishi vizuri na watu...si zama za ukabila sasa...ts abt value ya mtu na si kabila ama ukanda

Bado tunapambana sista, hakuna aliyelala wala kusinzia coz "maendeleo hayana chama" na bado tunajenga miundombinu japo kweli kwa sasa resources zimepunguzwa sana. Ninachojivunia maeneo mengi watu wanashikana sana, kama kuna issue inahitaji umoja watu wapo so positive na kusaidia maendeleo ya eneo husika.

What I don't appreciate is huu ukanda, kaskazini, kanda ya ziwa...why promoting such?
 
Hapana mimi nimeshaandika nitafsiri nini tena?

Jr
Ngoja nikuache ila ujumbe utakua umeupata

And truth is 'kaskazini' hamna kitu special ambacho kanda nyingine hawana

Nchi inaenda and ur not in top positions at all
 
Bado tunapambana sista, hakuna aliyelala wala kusinzia coz "maendeleo hayana chama" na bado tunajenga miundombinu japo kweli kwa sasa resources zimepunguzwa sana. Ninachojivunia maeneo mengi watu wanashikana sana, kama kuna issue inahitaji umoja watu wapo so positive na kusaidia maendeleo ya eneo husika.

What I don't appreciate is huu ukanda, kaskazini, kanda ya ziwa...why promoting such?
Muulize mshana
 
Mkiendelea kupambana mtasurvive Eli79
Survival is for the fittest...

Msijisifu mkajisahau
 
Asante LadyRed kwa kushiriki mjadala... Asante kwa michango mizuri bila kujali uhalisia wake... But please next time jitahidi kutulia ili uweze kuchangia kwa weledi zaidi... Thanks na karibu tena
Ngoja nikuache ila ujumbe utakua umeupata

And truth is 'kaskazini' hamna kitu special ambacho kanda nyingine hawana

Nchi inaenda and ur not in top positions at all

Jr
 
Huyo mshana hawezi kufafanua sababu hiyo mada ameanzisha kwa chuki na ubaguzi kwamba, makabila yaliyopo Chato na Pwani yanafaidika sana na maendeleo.

maana yake ni kwamba watu wa Chato na msoga hawastahili maendeleo, bali wanaostahili maendeleo ni makabila ya Kaskazini yani kilimanjaro na Arusha

Hii nchi ni moja kwa, watu waliotembea duniani hawaoni utofauti wa maendeleo mikoani sababu mikoa yote inalingana tu hivyo watanzania tusianze chuki na ubaguzi kwa vitu vidogo hivyo.
Nchi yetu bado masikini sana kwa ujumla

Akiulizwa afafanue anaruka ruka

Ila hamna kitu kitakachowashusha 'kaskazini' kama hio kujiskia wako smart kuliko wengine..matokeo yake wanarelax wanajiona wamefika wkt Tanzania wote ni 3rd world country

Sikuzote anayepiga hatua ni yule ambae anajiona hajafika...this applies to jamaa zote ambazo zilihisi kuachwa nyuma wana bidiii mfano hakuna siku hizi


Ni kama vile soko la simu sasa kila kitu ni iPhone na Samsung...ila Nokia na Blackberry ilitamba sana

Mtabaki historia...mark my words
Watasalimika watakaoendelea na bidii na maisha na kuishi vizuri na watu...si zama za ukabila sasa...ts abt value ya mtu na si kabila ama ukanda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Linganisha na maeneo tajwa utapata jibu

Jr
Hakuna kitu...hayakusaidiii
Hamna jipya huko ambalo mashariki magharibi na kusini hawana

No.1 ni visionary na ni wa Magharibi
No.2 ni wa Mashariki
No.3 ni wa Kusini

Na tunaenda...tuko on the right track😇😛😅
Endeleeni kujifariji
 
Huyo mshana hawezi kufafanua sababu hiyo mada ameanzisha kwa chuki na ubaguzi kwamba, makabila yaliyopo Chato na Pwani yanafaidika sana na maendeleo.

maana yake ni kwamba watu wa Chato na msoga hawastahili maendeleo, bali wanaostahili maendeleo ni makabila ya Kaskazini yani kilimanjaro na Arusha

Hii nchi ni moja kwa, watu waliotembea duniani hawaoni utofauti wa maendeleo mikoani sababu mikoa yote inalingana tu hivyo watanzania tusianze chuki na ubaguzi kwa vitu vidogo hivyo.
Nchi yetu bado masikini sana kwa ujumla



Sent using Jamii Forums mobile app
True hawezi fafanua nilichomuuliza kwa kuwa hakuna 'substance'

Wamekariri ya miaka ya nyuma
Watizame sasa na watizame mbele itakuwaje

Ukanda wont matter...everyone is exposed
It will js be TZ
 
Asante LadyRed kwa kushiriki mjadala... Asante kwa michango mizuri bila kujali uhalisia wake... But please next time jitahidi kutulia ili uweze kuchangia kwa weledi zaidi... Thanks na karibu tena

Jr
Pamoja🙏🏽
 
Back
Top Bottom