Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,365
- 12,351
Acha kujisifia mdaku wewe . Watumishi wachanga wengi walipika vyeti wametimuliwa . Ndo Mana mnahangaika tuTumepakimbia kivipi? Ile mijengo mikali vijijn imejijenga yenyewe?
Sababu kuu ya Wana Kilimanjaro kuwa nje ya mkoa Ni elim Hakuna Kijiji Chochote tz utamkosa mtumishi mchaga
Pia sababu nyingine Ni biashara,ulishaona mfanyabiashara anakaa sehemu moja?
Tanzania nzima wapo na wanamiliki vitega uchumi,huwez kukua kiuchumi kwa kukaa eneo moja hiyo ni principe of economy
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona Mshana Jr umejadili hoja za ukabila nyuma ya Pazia. Ila kwa karne ya sasa, nachelea kusema hoja yako ni Batili Na mawazo yako ni ya nyuma kidogo; kwa sababu wazazi wengi sasa wameamka hata kama anauza vitumbua lakini mtoto wake anasoma Shule ya kueleweka.
Wafanyabiashara Konki siku hizi ukiuliza utaambiwa huyu Mkinga, huyu Mpemba , huyu Msukuma , huyu Mnyiramba etc etc
Ukifika maofisini siku hizi unakutana na Mzaramo, mpemba ndio Madaktari Bingwa, Ma injinia etc etc.
Ifeke pahala watanzania hizi mada za Ukanda wa ziwa, Kaskazini tuzipunguze maana ukabila ndio ulianza hivi hivi; Tusije kuwa kama Wakenya ambapo ukabila utaendelea kuwatafuna.
Hata hivyo, ninakusifu kwa observation zako kuhusu hii kitu ya Chato na Msoga. Kwa staili hii , ili Tanzania iendelee vyema, basi inahitaji kutoa Rais kila Mkoa ili huyo Rais apeleke maendeleo kwao kama hawa wawili wa mwisho walivyofanya.
Lakini pia, napenda kuona observation zako katika hili; hivi Chadema ukomo wa kugombea Uenyekiti ni miaka mingapi ?
Thanks Kaka!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tumepakimbia kivipi? Ile mijengo mikali vijijn imejijenga yenyewe?
Sababu kuu ya Wana Kilimanjaro kuwa nje ya mkoa Ni elim Hakuna Kijiji Chochote tz utamkosa mtumishi mchaga
Pia sababu nyingine Ni biashara,ulishaona mfanyabiashara anakaa sehemu moja?
Tanzania nzima wapo na wanamiliki vitega uchumi,huwez kukua kiuchumi kwa kukaa eneo moja hiyo ni principe of economy
Sent using Jamii Forums mobile app
Umewahinkufika hiyo mikoaKutaka kufanana na Tanga, moshi na arusha?
Unaamanisha hiyo mikoa ni bora sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkoa wa moshi upo kanda ipi?Kutaka kufanana na Tanga, moshi na arusha?
Unaamanisha hiyo mikoa ni bora sana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuotaMwanzo wa post yako ni uharo mtupu. Hivi Tanga na huko umasaini kuna nini cha kuzidi sukumaland ? Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yes wao waliwahi kuamka ndio maana sasa hivi unaona wanasema wanaonewa na utawala sababu hawataki kukubali kwamba watu wote kutoka kila kanda wameamka!Hivi kwanini kila kona ya mji ulioendelea kidogo utakutana na watu wa kasikazin wanabiashara tayari, nenda kahama, mwanza chato, dodoma ,dar kariakoo Hawa wenzetu waliwekeza kwenye elimu elimu na biashara kuwakimbiza inatakiwa tufanye bidii sana, kuna siku nlikua kcmc hosp jamaa angu akaniambia nikaribie kibosho jamani wezetu wako mbali kuna manyumba mazur hadi kijijini tena yamepauliwa kwa msouth(bati) tuamke ndungu zangu wagogo
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujidanganya hivyohivyo.Aliyetangulia katangulia tu acha ubishi,tangu lini mwanafunz akamzidi mwalimu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ulishawahi kuona Kiwanja kinauzwa moshi/kilimanjaro?
Hii ndio Tofauti ya Kaskazini na wengine.
Jamani tuwache wachaga.
Kuna vitu wametuzidi sisi wengine.
Cha msingi tukae nao karibu watupe maujanja yao tu.
Nawasilisha
Uduzungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu, nilijaribu kumtongoza kwa mbali akanigomea, Sasa vuta subra niangalie kwa wana wengineIle ishu VIPI mbona kimya best?
Jr[emoji769]
Ndugu yangu, nilijaribu kumtongoza kwa mbali akanigomea, Sasa vuta subra niangalie kwa wana wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Imani yako imekuponyaHivi ulishawahi kuona Kiwanja kinauzwa moshi/kilimanjaro?
Hii ndio Tofauti ya Kaskazini na wengine.
Jamani tuwache wachaga.
Kuna vitu wametuzidi sisi wengine.
Cha msingi tukae nao karibu watupe maujanja yao tu.
Nawasilisha
Uduzungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakuja inbox, uliwezaje?Poa ila tayari nineshabanika wawili
Jr[emoji769]
Haitakaa itokee Kwan tumelala? Si tunaendelea kuongeza bidii?Endelea kujidanganya hivyohivyo.
Enzi zenu zimeisha saa hii tunakula sahani moja
Sent using Jamii Forums mobile app