Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Tuna shida na ikulu?Hako kaeneo ka Kilimanjaro ni kadogo sana na ndio maana mnatangatanga nchi nzima kufafuta maisha. Mtu unamiliki robo eka ya migomba halafu unajiona eti tajiri. Kwa akili zenu hizi, Ikulu mtaisikia tu, hamtaingia kamwe
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumepakimbia kivipi? Ile mijengo mikali vijijn imejijenga yenyewe?Kilimanjaro kuna watu ? Huko ni makaburini tu pa kwenda kuzika. 59% wote mmepakimbia. Mmebaki kubweka kama mbwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa kabisaNatambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya wilaya CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA
Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu
Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa
Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.
Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena
Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake
Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....
Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.
Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...
Nimemaliza...!!!!
Jr[emoji769]
Kumbe na wewe Jamaa ni mpuuzi hivi. [emoji117][emoji117][emoji117]ni rahisi sana kuongea kuliko kuthibitisha... Unapochangia mada ya mpuuzi nawe unakuwa mpuuzi unalitambua hilo?
Jr[emoji769]
Hizo sehemu ulizotaja sio uhayan hata kidogo
Sidhani kama unapafahamu uhayan
Tofautisha uhayani na kagera .Pia bukoba na kagera
Hao wamanyema watajifanya wahaya Tu hawawezi kuishi kama walivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kanda ya ziwa? Mbona Nina biashara nyingi tu huko?
Pâle mwanza wachaga wanamiliki ghorofa nyingi Sana
Ile hôtel ya gold crest nayo ya mchaga
Ukija maeneo ya magu ndio hatari,sengerema pale maduka makubwa ya kilimo na mifugo Ni yao
Msambazaji mkuu wa pembejeo sengerema nzima Ni mzee masashuo mchaga wa ROMBO yaan wamejaa kama siafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwa wilaya sio sababu.
Hivi kwanini kila kona ya mji ulioendelea kidogo utakutana na watu wa kasikazin wanabiashara tayari, nenda kahama, mwanza chato, dodoma ,dar kariakoo Hawa wenzetu waliwekeza kwenye elimu elimu na biashara kuwakimbiza inatakiwa tufanye bidii sana, kuna siku nlikua kcmc hosp jamaa angu akaniambia nikaribie kibosho jamani wezetu wako mbali kuna manyumba mazur hadi kijijini tena yamepauliwa kwa msouth(bati) tuamke ndungu zangu wagogoUnaposema labda wa kaskazini sijui waokoe jahazi and shi.t unamaanisha nini?.mnajikutaga keki ila i assure you kwa ulikwengu wa sasa hamna jipya ambalo makabila wengine hawana kama lipo litaje hapa tumalize mzizi wa fitna
HahahaKuwa wilaya sio sababu.
Je kyamyorwa kuna mikahawa na migomba?
Na huko ni nje kidogo y a uhayani.
Siku msukuma akianzisha makazi kamachumu au bugabo huko ndo nitaelewa kuwa wakazi wameingia uhayani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu ,kuna watu hawaamini kuwa Hawa watu wamewaacha mbali mnoHivi kwanini kila kona ya mji ulioendelea kidogo utakutana na watu wa kasikazin wanabiashara tayari, nenda kahama, mwanza chato, dodoma ,dar kariakoo Hawa wenzetu waliwekeza kwenye elimu elimu na biashara kuwakimbiza inatakiwa tufanye bidii sana, kuna siku nlikua kcmc hosp jamaa angu akaniambia nikaribie kibosho jamani wezetu wako mbali kuna manyumba mazur hadi kijijini tena yamepauliwa kwa msouth(bati) tuamke ndungu zangu wagogo
Sent using Jamii Forums mobile app
UNA uhakika?
Kama unaelewa zaidi, tuelezee maendeleo ya Usangi.Unamzungumzia Cleopa Msuya nadhani
Jr[emoji769]
Na kuongeza idadi ya majini na misukule!Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.
Jr[emoji769]
Rafiki ulikuwa unanijibu Mimi au mtoa mada? Maana Mimi siio mleta mada. Nimecomment tu kuwa chato iko na ilikuwa mbali zaidi ya msoga. Sasa ulivojibu mambo ya uharo imeonekana kama umenijibu kumbe ilitakiwa umjibu mtoa mada! Ila ni mtazamo wake !Mwanzo wa post yako ni uharo mtupu. Hivi Tanga na huko umasaini kuna nini cha kuzidi sukumaland ? Pole sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
lakini Usangi ndio sehemu ya kwanza kuendelea Wakati huo way back 80's kukiwa na mtaa maarufu wa Store Mombasa pale KiricheKama unaelewa zaidi, tuelezee maendeleo ya Usangi.
Natambua wingi wa matukio na harakati za maisha vinatufanya kuangalia mapya bila kutafakari yaliyopita..
Wiki hii kulikuwa na mjadala mwingine baada ya kuzinduliwa Mahakama ya wilaya CHATO ikitajwa kama mahaka kubwa na nzuri kulinganisha na Mahakama nyingine za mwanzo TANZANIA
Tangu awamu hii ishike hatamu mambo mengi ya kimaendelea yamefanyika CHATO... Kwa kutaja chache tu
Traffic lights
Jengo kubwa la Bank ya CRDB
Jengo la mamlaka ya mapato TRA
Mbuga ya wanyama
Uwanja wa ndege
Uwanja wa mpira
Msikiti mkubwa nknk
Malalamiko yamekuwa mengi kuwa kuna upendeleo unafanywa kuipa CHATO maendeleo isiyostahili
Ni lazima tukumbuke kanuni hii muhimu ya BINADAMU kwamba MWAMBA NGOMA NGOZI HUVUTIA KWAKE... Ni baba wa Taifa pekee hayati Mwalimu J. K. Nyerere ambaye alienda tofauti na kauli hii na kidogo akafuatiwa na Mzee Mwinyi na Mzee Mkapa
Alipoingia madarakani brother Jakaya mambo yakawa tofauti... Akaamua kutumia nafasi yake kuwasaidia watu wa kwake.. Aamejitahidi kadiri alivyoweza kuiamsha Pwani.. Miradi mingi ikipelekwa huko ama Pwani ikipewa kipaumbele... Ombwe halikuonekana sana kwakuwa pia Pwani ni eneo MKAKATI kwa ajili ya kuingia na kutoka Dar.
Hata hivi viwanda vya leo Pwani zilikuwa ni juhudi zake.. Lakini kuna mengine yakawa ni kama hayakuwa na ullazima wa kuyafanya... Leo hii kuna njia mbili za lami mpaka mlangoni kwake pale Msoga... Lakini kuna Msikiti mkubwa mzuri ulijenga pale Msoga barabarani siku hizi umezungukwa na nyasi. Hauhudumiwi tena
Natambua dhima ya kila kiongozi kutaka kusaidia eneo lake ili walau lifanane na kwingine... Natambua fika mawazoni mwao wanataka kuona maeneo yao yakifanana na kaskazini hasa ukanda wote wa Tanga, Moshi mpaka Arusha... Lakini huu ni mchakato mrefu wenye kuhitaji maandalizi na mpango MKAKATI a kina... Kielimu na kubadili mtazamo wa wenyeji wake
Watu wa kaskazini wako vizuri juu na chini pia na wnapenda sana kutumia vizuri fursa zilizopo, ni wabunifu na ni wachapakazi.. Hawana majungu na wanathamini kila kitu kizuri.. Wanapenda UMOJA na kushirikishana... Wanajua vizuri thamani ya elimu ardhi na rasilimali watu....
Maendeleo yaliyojaribu kupelekwa CHATO na PWANI yangepelekwa kaskazini... kisinheharibika hata kitu kimoja na kingetumiwa kwa weledi mkubwa na kuleta matokeo chanya zaidi... Lakini la zaidi huko kote wanaosimania na kujaribu kuleta matokeo hayo chanya bado ni wale wale wa kaskazini!
Kwa mfano Pwani ya JK wenyeji wamebaki kuwa viibarua wapagazi na kazi zisizo na taaluma huku wakiendelea kuuza ardhi zao kwa bei sawa na bure.. Wao wakipata pesa kidogo ni starehe na KUONGEZA wake.
Siwezi kuizungumzia CHATO kwasasa lakini haina tofauti sana na Pwani... Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.... Labda wa kaskazini wafanye jitihada kuokoa jahazi kwakuwa maono yao ni makubwa na uelewa wao uko deep zaidi...
Kuna tofauti kubwa sana kati ya mtoto aliyekulia nyumba ya nyasi na aliyekulia nyumba ya bati na sakafu...
Nimemaliza...!!!!
Jr[emoji769]
Naona Mshana Jr umejadili hoja za ukabila nyuma ya Pazia. Ila kwa karne ya sasa, nachelea kusema hoja yako ni Batili Na mawazo yako ni ya nyuma kidogo; kwa sababu wazazi wengi sasa wameamka hata kama anauza vitumbua lakini mtoto wake anasoma Shule ya kueleweka.
Wafanyabiashara Konki siku hizi ukiuliza utaambiwa huyu Mkinga, huyu Mpemba , huyu Msukuma , huyu Mnyiramba etc etc
Ukifika maofisini siku hizi unakutana na Mzaramo, mpemba ndio Madaktari Bingwa, Ma injinia etc etc.
Ifeke pahala watanzania hizi mada za Ukanda wa ziwa, Kaskazini tuzipunguze maana ukabila ndio ulianza hivi hivi; Tusije kuwa kama Wakenya ambapo ukabila utaendelea kuwatafuna.
Hata hivyo, ninakusifu kwa observation zako kuhusu hii kitu ya Chato na Msoga. Kwa staili hii , ili Tanzania iendelee vyema, basi inahitaji kutoa Rais kila Mkoa ili huyo Rais apeleke maendeleo kwao kama hawa wawili wa mwisho walivyofanya.
Lakini pia, napenda kuona observation zako katika hili; hivi Chadema ukomo wa kugombea Uenyekiti ni miaka mingapi ?
Thanks Kaka!
Sent from my iPhone using JamiiForums