Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Hata tungepigwa na tsunami Kama akili ipo ipo tu,kumbuka maendeleo yanaanzia kwenye mindset za watu sio vituKagera imepigwa vita plus majanga na matukio ndo yameishusha.
Mngepigwa na hayo majanga na kakilimanjaro kalivyo sidhani kama mngesimama kama ilivyokagera.
Mv bukoba,vita ya kagera,elnino, ukimwi,mnyauko, pamoja na Baba Lao tetemeko yote yameugusa mkoa mmoja na bila ya recovery yoyote lakin upo na umesimama mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni asilimia ngapi ya wote?Ona akili kama hizi sasa!
Na mtaendelea kulia sana.
Nawaonea huruma maana kuna jamaa mmoja yeye toka amalize chuo hajapata kazi kwa akili yake alifikiri akimaliza tu atashikwa mkono tena, yaani hataki kukubali kwamba hiyo course aliyosoma kuna watu toka kila Kabila wamesoma pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu,n'a wewe endelea kubaki n'a akili za kuona wivu haujaharibu chochote
Hamuwez kututoa maana tunaendelea kusoma tena SanaHali hiyo inaondoka kwa kasi ndio maana mnahisi mnaonewa!
Hamtaki kukubali ukweli kwamba hizo fursa kila Kabila linazigombania siku hizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyetangulia katangulia tu acha ubishi,tangu lini mwanafunz akamzidi mwalimu?Kwenye huu uzi wako unataka kuwaambia watu kwamba pamoja na kwamba wanalalamika chato kupendelewa kuliko mikoa ya Kas kazini, bado hiyo miradi iliyopelekwa huko kiupendeleo, watakaoiendesha ni watu wa Kas kazini maana ndio wenye maono.
Hii si Tanznaia ya miaka ya enzi kina Mwinyi na kina Mkapa mkuu.
Akili walizonazo watu wa Kas kazini ndio walizonazo watu wa kusini, magharibi na Mashariki.
Enzi za watu wa Kas kazini kujimwambafy kila kona katika nchi hii zimeahapita mkuu. Ni ukweli unaouma na wala hamuonewi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sahau hawezsi kuondoka madarakani. hakuna dictator aliyewahi kuondoka madarakani!Na kuna uwezekano mkubwa sana awamu hii ikiheshimu Katiba na kuondoka madarakani kila kitu kitakufa kule.
Ndio kwanza tuna improveNi mfumo..yajayo yanafurahisha
Mtafurahi wenyewe
Vitu Kama hivyo kilimanjaro vipo tangu miaka ya 80'sUngekuwa ushafika Chato afu unaandika uwo upuuzi wako, nafikiri ungejishangaa sana.......jaribu kuandika kitu ulichokiona kwa macho usiwe mtu wa kusimuliwa simulizi, kama hadithi za abunuawasi.
Sasa kwa taharifa yako NMB wamejenga bonge la jengo zaidi ya CRDB na hospitali kubwa sana inajengwa km mloganzila......
Najua ayo pia ujui.....tembea na fact.....kaka
Kaskazini hamna tofauti na ziwani. Atoke kusini kama hawana wasomi atoke nyanda za juu kusini magharibi. MbeyaSawa but huko chato imekuwa too much asee ,msoga cyo saana alafu kikwete hakukandamiza maeneo mengine kwa kiburi na kujiskia Kama huyu meko ,jamaa namfananisha kwa mbaali na mobutu sese seko kuku ngwendu wazabanga ,,kwa mambo yake anayoyafanya
But hapa ni heri aliyenacho aingezewe tu yaani kwa kuwa Kanda ya kaskazini tulishaejielewa mapema na mind u that hatuna kibur ,next time urais utoke kaskazi Sasa ,,,[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji123][emoji123][emoji123][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nshamba Kuna waarabu Koko wa kihaya hakuna mchaga.Weweee
Nenda nshamba pâle centre wachaga kibao wana maduka,pâle bukoba mjini ndio usiseme
Hakuna popote Tanzania utakosa investment ya mchaga
Kuhusu kuolewa na nshomile,washomile wanaoa Sana uchagani ili wapate akili ya kimaendeleo,huez ukaoa mchaga alafu ukakosa maendeleo
Hata kina mkapa,sumaye,warioba,bomani ni wameoa uchagani upo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni moja ya wale wapumbavu sana wote tz wamesoma lakini kipindi cha nyuma mifumo mibovu ya ajira ndo iliwafanya muwepo Kila sehemu. Yani nyie si wakukabiziwa nchi maana mtamuweka mpaka mtoto wa miaka miwili ofisini, asilimia kubwa wenye vyeti feki wanatokea Kaskazini tunawafahamu wengi mmetimuliwa msimu huu wa awamu ya tano[emoji38][emoji122][emoji122][emoji122] wengi tu. Msipende kujidai mmesoma wakati tumegundua janja yenu . Ukimwajiri mchaga mmoja ndani ya mwaka utakuta wamejazana wao mpaka wanapika na vyeti wanajidai wasomi. Tuna data zenu.Hatujakataa
Lakin bado ktk nyanja ya exposure au kusoma, kaskazini ipo juu yaani ime maintain,hivi Kuna taasisi gan utawakosa?
Kuna eneo gan tz utamkosa mchaga? Hii Ni exposure ya Hali ya juu kbs kimsingi bado sana kutufikia
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukienda kuishi Kaskazini watakuloga HawaKuna neno umenifurahisha mkuu.....' kuna tofauti ya mtoto aliyekulia kwenye nyumba ya nyasi na aliyekulia kwenye nyumba ya bati na sakafu'..... hayo maneno yamebeba ujumbe mzito na ndiyo hayo pekee yamenifanya kuchangia mada hii.
Kwingine kote nimetofautiana kidogo na mawazo yako.
Sisi tunaunga mkono chochote kinachojengwa popote kwa gharama yoyote!
Huu mwamko wa uungaji mkono wa aina hii umetokana na matendo ya tawala zilizopita, za siasa za maneno, kupiga pesa hadi nchi ikachakaa kama dampo la taka na tukakosa wa kumlaumu!
Miradi yoyote ile ijengwe kaskazini, kusini, mashariki ama magharibi kwa gharama yoyote sisi twaiunga mkono, maana hii ni Tanzania moja hatuhitaji vibali vya uhamiaji kwenda kuishi popote upapendapo.
Kuanza kusema matabaka ya wa kaskazini, sijui mashariki, mawazo hayo yana harufu ya ukabila na ni sumu kwa kizazi cha leo.
Mawazo ya namna hiyo yalikwisha kufutwa zamani na baba wa taifa kwa kutoa elimu ya uraia iliyomaliza ujima huo wa ukabila, sasa tusirejelee huko
Aheri kujenga kuliko kutojenga na hela iliyopo kuishia kupigwa na wajanja!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao bado hawajazinduka mkuu! Makabila yote siku hizi wameelimika wanajua dunia inaendaje.
Enzi za wewe mtoto wa shirima basi nenda dar kuna shirima kwenye shirika flani utapata kazi zimeisha.
Ndio maana wakienda maofisini siku hizi wanakutana na rundo la watu kutoka kila Kabila wana cv Sawa na yake na wote wanataka kazi hiyo hiyo,
Akikosa anaishia kulaumu eti Magu anapendelea na kubagua watu wa Kaskazini. [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Chadema is poor hakuna chama hapo ni saccos ya kaskaziniMkakati wa kichadema
M/kiti MCHAGA
Katibu MCHAGA
M/kiti bawachha MCHAGA
M/kitu Bavicha nijuzeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Mind set yenu imeja mavi thus why niwa binafsi sana.Hata tungepigwa na tsunami Kama akili ipo ipo tu,kumbuka maendeleo yanaanzia kwenye mindset za watu sio vitu
Ndio maana pwani Kuna vitu Ila watu hawana mindset hadi mkuranga, kisarawe bagamoyo wachaga wameinunua karibu wanamaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio ukabila anaofanya magu.Nikweli mkuu! Naomba kanda ya ziwa kama kuna watu wamepania kuinua maisha ya kanda ya ziwa! Wajenge vyuo vingi vya elim huko, nasikia kuna CBE inajengwa bariadi sapiwi, na DIT mwanza nk. Naomba vyuo vikuu viongezeke badara yakubaki na SAUT pekee, harafu wasamvaze siyo kuwa palepale mjini. Pelekeni vyuo vya NIT kama tawi pale magu kuna maeneo mengi bado yapo wazi maana saivi NIT ni dar pekee, chuo cha bandari perekeni pale Nyamikoma ziwa lipo na maeneo yapo, chuo cha anga pale kisesa maeneo yPo na na vyuo vingine
Mnamshabikia rais mbovu zaidi Africa hata kutoka nje ya nchi hii shida. Tuwe makini sana na dikteta huyu.Mnasikitisha sana ninyi Vijana, yani mnajitekenya na kucheka wenyewe.
Ninaposema ninyi mashoga mnadhihirisha kweli ni mashoga.
Hoja hamna mmeanza mipasho, pumbavu Kabisa.
Tulieni wanaume tuwafundishe
Sent using Jamii Forums mobile app