babu, huyu kijana Mtambuzi bado mdogo sana, hajakusoma ati......Kama bado likizo unaomba ya nini?
wakati unajilipua nitonye kuna mjengo nataka ulipuke nao mwanangu
Ndio hivyo tena, najijua mie domo langu hili nikiamua kufunguka, naenda kulianzisha kule na ninajua sitasalimika
Nipo nipo dada, nasubiri Invizibo alale ninyee kambi............LOL
charminglady niliwekewa ulinzi shirikishi, nimeahirisha mpango....we mzee bado upp??