Hebu twende Chimbo PM kwanza maana hapa tutaharibu na huenda BAN ikazaliwa hapa hapa
Kuna kitu naenda kukorofisha kule jukwaa la siasa.
Nishachoka na maisha, na sasa nimeamua kujilipua.............
Wanaojiripua huwa ni kimyakimya, vipi leo upo pub kwako!??
si we mwenyewe umenipeleka bording school thimu hujaninunulia ntakujibu vp,halafu huo usiku nakua prepo ndo maana ripoti yangu imejaa mabanda.We nawe inahu!
Halafu huo mtindo wako hujibu PM za baba yako usiku, kwani huwa unafanyaga nini usiku wakati sijala mahari yangu..!!!!
yupo simba kapakatwa..
Mkuu si umenipta hapa BUGURUNI KIMBOKA ukielekea hapo Vingunguti mitaa yan kati...
wewe sasa unazeeka vibaya, sasa unacheka nini?
Bado hazijaisha mkuu, kwani vipi....?
sitaki kuamini kama kimboka na penyewe unafika mbona wanitia mashaka babangu na uzee wote huo kwann usiende sehemu ambazo naniiii hawajiuzi,hayo macho huwa unayafumba kweli.