Mkimzingua ataunda chama chake

Kuna jamaa linaitwa Jitombashisho, linalia Kisukuma hadharani mpaka watu wanalishangaa!
Hilo jina lake tu ni tusi huyo achaneni nae sisi wasukuma tuko pamoja na Mama hao wapuuzi .Kwanza mm nashukuru ndugu yangu hakuiacha inchi kwenye vita kwa hiyo hayo matatizo mengine Mama najua atayamaliza .Jamani hebu tujenge nchi hawa wanao taka mama ashindwe wakafie mbele huko shenzi zao kabisa...
 
Ww umeanza lini kujitegemea hivi nyinyi akili zenu ziko wapi....Tanzania bado sana kusema tunaweza kujitegemea .Ukitaka kujua bado hebu angalia deni la taifa ndo utajua tunajitegemea ama tunategemea ..mnakaa mnandanganya watu eti kujitegemea
 
Labda kama ni fursa kama fursa nyingine nawapa heko ila kama ni kubadilisha mentality ya watanzania dhidi ya mama wasubiri kwasasaivi tutawaita wapiga deal waenzi za jiwe
 
Eti Jitombashisho! Jamaa la hovyo kabisa yaani linashusha nyuzi utafikri limepagwa!
 
Muda ni mwalimu mzuri sana, tutarudi hapa kuwafariji bavicha.
 
Kuna kundi dogo faidika la utawala uliopita ile taharuki ya msiba wa bygone inawaisha sasa na kujikuta tayari mambo ni moto fire....wanashuhudia live jinsi mtandao wao unavyopukutishwa kwa kasi ya moto wa kimbunga...
Nakuhakikishia kuunda chama chake HAWEZI. Mama yuko IMARA na ataendelea kuwa IMARA akiwa CCM. Na katika ushauri wa KIPUUZI ambao hapaswi kuusikiliza na kuufuata na huo!
 
Tutapambana nao kama tulivyo pambana na Marehemu Mzee Wao, mpaka akapata stroke. Ikibidi hata kuwakeketa bila ganzi tutawakeketa tu.



Kwakweli tulipambana na marehemu mzee wao mwishowe akapata stroke akaenda zake sasa hivi ni maaru kwa jina la MWENDAZAKE

Kweli watanzania waoga kuingia barabarani kwa sababu marehemu alitumia dola kututisha

Lakini nasisi tukatumia mitandao ya kijamii kumtisha vilevile hatimae kapigwa stroke

usicheze na nguvu ya uma bana ikikuvamia kwa njia yeyote lazima utaumia tu
 
Yaani wametawanywa kama kondoo wasio na mchungaji. RAIS tunaye sana ambaye amerejesha tabasamu. Yaani bila hata pesa kwenye wallet lakini natembea kifua mbele. Tanzania imerudi kwenye sifa.
 
Mama mitano tena
Kabisa. Hii ndiyo muhula wake wa Kwanza kama Rais hivyo wapewe mitano tena na ikifaa tumpe zaidi mpaka asafishe ukabila na ukanda na ule udikteta waliovikwa baadhi ya viongozi. Aisee utafikiri tuligeuka Kosovo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…