GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,380
Kuharibu Mali za Umma au za mtu yeyote sio njia nzuri ya kufanya demonstration.
Hizi Mali za Umma, ni kodi zetu ndio zinatumika kujenga.
KWa akili ya kawaida tuu kituo cha mwendokasi au kituo cha polisi hakuna faida yoyote ukikichoma moto, zaidi ya hasara.
Maandamano kwa watu waliostarabika
Wanaingia barabarani kwa wingi na mabango, huku wakipaza sauti ni nini wanataka.
Ukienda kuchoma kituo cha polisi , vyombo vya ulinzi haviwezi kukuacha , mwisho wa siku sehemu muhimu zitatiwa moto.
Mwisho pole kwa waliofiwa na ndugu jamaa na marafiki.
Mungu awasaidie katika kipindi hiki kigumu
Hizi Mali za Umma, ni kodi zetu ndio zinatumika kujenga.
KWa akili ya kawaida tuu kituo cha mwendokasi au kituo cha polisi hakuna faida yoyote ukikichoma moto, zaidi ya hasara.
Maandamano kwa watu waliostarabika
Wanaingia barabarani kwa wingi na mabango, huku wakipaza sauti ni nini wanataka.
Ukienda kuchoma kituo cha polisi , vyombo vya ulinzi haviwezi kukuacha , mwisho wa siku sehemu muhimu zitatiwa moto.
Mwisho pole kwa waliofiwa na ndugu jamaa na marafiki.
Mungu awasaidie katika kipindi hiki kigumu