Na ndio maana nimeweka "two alternatives" hapo nikasema "kama hana mchepuko basi ana jini mahaba" Kuchepuka mara nyingi kunasababishwa na kutokuelewana vyema kunakosababishwa na huko kutendwa ulikokuelezea wewe. Sasa mimi wapi nimekosea hapo? Au ulitaka mimi niandike maelezo mengi kama vile nimekuja kuandika barua hapo. Tena unikome