beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Kuelekea mkesha wa mwaka mpya, Jeshi la Polisi Nchini limewataka Wananchi watakaokusanyika katika fukwe za Bahari na Maziwa kurejea nyumbani ifikapo saa 12 jioni.
Vilevile uchomaji wa Matairi umepigwa marufuku na kwakuwa unasababisha uharibifu wa miundombinu mingi ambayo imejengwa kwa gharama, pia ni kero kwa raia wema.
Aidha, Polisi wamepiga marufuku Disko Toto Nchini kote na Watoto wametakiwa kusherehekea chini ya uangalizi wa Wazazi au Walezi.
Vilevile uchomaji wa Matairi umepigwa marufuku na kwakuwa unasababisha uharibifu wa miundombinu mingi ambayo imejengwa kwa gharama, pia ni kero kwa raia wema.
Aidha, Polisi wamepiga marufuku Disko Toto Nchini kote na Watoto wametakiwa kusherehekea chini ya uangalizi wa Wazazi au Walezi.