Mkesha Mwaka Mpya: Polisi yasema kukaa ufukweni mwisho saa 12 jioni

Kwa sababu taarifa haitoi ufafanuzi wa kutosha,hii ni nchi sio familia inayoendeshwa kwa mfumo dume.
Watanzania wanajua Kuwa watoa lawama fikra nje na hapo hazipo kabisa!
 
Kwa sababu taarifa haitoi ufafanuzi wa kutosha,hii ni nchi sio familia inayoendeshwa kwa mfumo dume.
Huwezi kupewa taarifa za kiintelijensia kihivyo ndugu.. sisi Kama wananchi yatupasa pia kutii maagizo ya kiusalama.. huwezi ambiwa Kuna nini.
 
Serikali ya kidikteta hua haijiamini

Inaelekeza watu hata jinsi ya kufanya sherehe and enjoy themselves...

Hii haijawahi tokea tangu uhuru serikali kupangia watu how to enjoy themselves kwenye sikukuu

Hii hofu yote inatoka wapi?

Hapa ni sherehe ya mwaka mpya,ni effectively saa kumi na mbili mkalale

Kitafuata kupangiwa muda wa kulala Tanzania nzima,kua say saa 3 kamili watu wote tuwe vitandani

Mtapangiwa muda wa kufunga na kufungua hotels

Mtapangiwa muda wa kwenda kanisani,nguo za kuvaa,gari gani uendeshe,mtoto wako asome shule gani na asome nini,etc

Udikteta ni sumu,ni ugonjwa ni kansa inakula seli moja baada ya ingine mpaka mwili mzima ufe..

Dawa ni kukata kiungo chenye kansa kisiambukize sehemu zingine

Mitano TENAAAAAA,Tanzania kama URAYAAAAAAAH
Ndiyo umesema nini hapa Mangi?

Marekani angetoa tahadhari kwa raia wake ingekuwa sawa

Tanzania imefanya hivyo imekuwa na definition kibaoo

....
 
Huwezi kupewa taarifa za kiintelijensia kihivyo ndugu.. sisi Kama wananchi yatupasa pia kutii maagizo ya kiusalama.. huwezi ambiwa Kuna nini.
Ni lazm kuambiwa kuna nn, kesho serikali ije awaambie mtaani kwenu wote msitoke nje kwa masaa 12 si lazima uulize kwnn mkae ndani.
 
Ni lazm kuambiwa kuna nn, kesho serikali ije awaambie mtaani kwenu wote msitoke nje kwa masaa 12 si lazima uulize kwnn mkae ndani.
Sio kila kitu ni chakuambiwa kukiwa na tetesi za ugaidi unafikiri ukiwaambia watu wataenda kwenye hizo fukwe..? wao wanajua na ndio wanataarifa zaidi Sasa mkuu unataka kuleta ubishi usio na tija tu.
 
Je hii ni pamoja na hoteli zilizo na fukwe au ni kwa fukwe wazi (open beaches) tu? Maana kama ni pamoja na hoteli au migahawa, inaweza kuharibu biashara. Labda wangetoa ufafanuzi zaidi.
 
Huko ufukweni kuna kipi kibaya mpaka watu waonoke SAA 12 jioni ama wanataka watoe nafasi kwa majini,mashetani & masamaki nguva kusheherekea mwaka mpya
 
Wange nyoosha tu sentensi kua hakuna kusherhekea chochote kazi ziendeleee kama kawaida na tule ugali kama kawaida... Kama vike amhakija tokea kitu...

Asee hii miaka mitano nita nyooka kwakweli
 
Back
Top Bottom