mzushi flani
JF-Expert Member
- Jan 20, 2020
- 1,627
- 2,468
Afadhali hawakataja mabaruti... nko natafuta spoku tu wakuu
na hawajataja kumbi za starehe!..:tukutane boardroom
na hawajataja kumbi za starehe!..:tukutane boardroom
Nasemaje,nakesha na hakuna wakunigusa!Basi fuata sheria ya nchi uishi kwa usalama
Taharuki gani kwani kazi ya polisi ni Nini?Huenda kunakitisho, wameamua kutokuzua taharuki.
TUWE WASIKIVU!
Kwani ni lini kuchoma matairi kwenye shamramshara za mwaka mpya iliwahi kuruhusiwa hapa Tanzania?Kwenye kuchoma matairi naunga mkono. Unatoka zako huko huna hili wala lile unakuta matairi yamechomwa barabarani unashindwa kupita
Unapita pembeni shida iko wapi.Kwenye kuchoma matairi naunga mkono. Unatoka zako huko huna hili wala lile unakuta matairi yamechomwa barabarani unashindwa kupita
Hao ndio wanaotuharibia.Wakuu nje ya mada.
kuna mpwa hapa kakata moto kwa pombe,sahivi saa 9:08.
Mwaka mpya unaanza saa sita,uyu mpwa kakata moto sahivi saa tatu,yupo chini ya meza hapa,waungwana wanapambana kumpeleka kwao.
Vijana kunyweni pombe kwa kiasi.pombe isikutawale.
Ndimi wenu Mchungaji wa kondoo majike Tanzania NAWATAFUNA
Kupita pembeni inategemea na barabara yenyewe. Na Kama hakuna barabara nyingine zaidi ya hiyo inakuaje?Unapita pembeni shida iko wapi.
Au unageuza unabadili njia kwa nyuma kidogo. Acha watu wafurahi.
SawaSio kila kitu ni chakuambiwa kukiwa na tetesi za ugaidi unafikiri ukiwaambia watu wataenda kwenye hizo fukwe..? wao wanajua na ndio wanataarifa zaidi Sasa mkuu unataka kuleta ubishi usio na tija tu.
Bar as long as ipo beach na ni night club ruksa kukesha kuna ulinzi ufukweni mwisho saa 12 kabla ya huu utaratibu watu walikuwa wanauana.Watu wakikesha beach au bar si wanaiongezea serikali mapato?
Kweli mkuu,wanaharibu taswila nzima ya wanywaji.Hao ndio wanaotuharibia.
Kweli mkuu,wanaharibu taswila nzima ya wanywaji.Hao ndio wanaotuharibia.
Mtu anataka akeshe anaogelea hajui kama hayo ni makazi ya majini lakini pia kabla ya huu utaratibu ikiingia tu giza huko ufukweni watu walikuwa wanauana jeshi la polisi wako sahihi kama kuna club hapo beach mnazama ndani.Watanzania wanajua Kuwa watoa lawama fikra nje na hapo hazipo kabisa!