Msiwe waoga kusikia neno Mkenya tu mnaanz akuseme maneno mengi bila kujiuliza maswali ya msingi kuwa mtoa hoja na alikutana na Mkenya wa kada (level) ipi ya maisha,yeye alichojali ni Ukenya tu, inawezekana alikutana na Menya ambaye ni tingo wa gari la mizigo toka Nyawahita ama Katito alikuwa mtu wa mtaani tu ila kama zali kapata nafasi katika kampuni ya Trans East Africa so ukimuuliza kuhusu mambo ya dunia nadhani ni rahis yeye kutojua.
Sasa jiulize kama huyo Mkenya kama anayajua haya;
1.Wakati unatuma hii Thread yako rais wa Mwai Kibaki alikuwa hapa nchini ziara ya siku mbili,Je Mkenya analijua hilo?
2.Mwaka 2007 wakati wa uchaguzi mkuu wa Kenya,Kibaki alionekana dhahiri kupoteza nafasi yake ya urais aliyokuwa anaantetea hivyo kuwa na mgogoro kati yake yeye KIBAKI NA ODINGA,sawa je,huyo Mkenya anawakumbuka walioenda KUSULUHISHA mgogoro huo,na walienda kwa sifa zipi.
NISEME MACHACHE,MAANA SIJUI HATA KAMA AKIWA MFUATILIAJI WA HABARI KUPITIA VYOMBO VYA HABARI KAMA BBC-SWAHILI ANAWEZA KUELEMIKA ZAIDI,HATA HUYU MWANDISHI WA HII THREAD PIA
Sasa jiulize kama huyo Mkenya kama anayajua haya;
1.Wakati unatuma hii Thread yako rais wa Mwai Kibaki alikuwa hapa nchini ziara ya siku mbili,Je Mkenya analijua hilo?
2.Mwaka 2007 wakati wa uchaguzi mkuu wa Kenya,Kibaki alionekana dhahiri kupoteza nafasi yake ya urais aliyokuwa anaantetea hivyo kuwa na mgogoro kati yake yeye KIBAKI NA ODINGA,sawa je,huyo Mkenya anawakumbuka walioenda KUSULUHISHA mgogoro huo,na walienda kwa sifa zipi.
NISEME MACHACHE,MAANA SIJUI HATA KAMA AKIWA MFUATILIAJI WA HABARI KUPITIA VYOMBO VYA HABARI KAMA BBC-SWAHILI ANAWEZA KUELEMIKA ZAIDI,HATA HUYU MWANDISHI WA HII THREAD PIA