Mkenya kaniuliza swali!

Mkenya kaniuliza swali!

Nilikuwa naongea na jamaa mmoja Mkenya, kama kawaida mambo ya siasa yakaanza na Uchaguzi, jamaa akaniuliza ''It seems you people you know alot about Kenyan politics, how come i dont know anything about Tanzanian politics?'' nikakosa jibu, sijui wewe ungemjibu vipi yule jamaa?
Hivi karibuni 2015 watatuelewa vizuri,by the way wakenya hawapendi kuangalia TV,Redio za nje ya Kenya ni wachache sana hata redio zao za kikabila zaidi hakuna anayeshobokea kabila la wengine wakenya,huyo hajui habari za TZ hajui hata za kabila mwenza huko Kenya.
 
Nilikuwa naongea na jamaa mmoja Mkenya, kama kawaida mambo ya siasa yakaanza na Uchaguzi, jamaa akaniuliza ''It seems you people you know alot about Kenyan politics, how come i dont know anything about Tanzanian politics?'' nikakosa jibu, sijui wewe ungemjibu vipi yule jamaa?
..jibu rahisi tu..ni kuwa rais wetu alikuja kuwapatanisha baada ya rais wenu kujiapisha Urais..ndio maana tukajua siasa za huko
 
Nilikuwa naongea na jamaa mmoja Mkenya, kama kawaida mambo ya siasa yakaanza na Uchaguzi, jamaa akaniuliza ''It seems you people you know alot about Kenyan politics, how come i dont know anything about Tanzanian politics?'' nikakosa jibu, sijui wewe ungemjibu vipi yule jamaa?

Wao ni wakabila na sisi hatuna hizo.Simple and clear
 
Watafahamu vipi siasa za tz zinazosimamiwa na watu km kina nape, nchemba na masalia?
 
We area special people up north! politics in kena puts the region in the world radar and possibly TZ benefits ...u guys shud thank us...anaglieni siasa ya Norht Korea..it makes th3e south benefit! angalia pakistan na India...mmmmm maji baridi

  • :smile-big:
 
Hivi karibuni 2015 watatuelewa vizuri,by the way wakenya hawapendi kuangalia TV,Redio za nje ya Kenya ni wachache sana hata redio zao za kikabila zaidi hakuna anayeshobokea kabila la wengine wakenya,huyo hajui habari za TZ hajui hata za kabila mwenza huko Kenya.

Ni kweli Mzee ! Hata Bar wanaenda kikabila na kuishi mjini pia wana kaa kikabila, hivyo hawezi kuwa na interest na wengine !
 
Alichomaanisha ni kwamba, inakuwaje Watanzania wanajua sana na kufwatilia siasa za Kenya, wakati yeye hata ukimuuliza Waziri Mkuu wa Tz hamjui, au hata ukimuuliza ni lini kuna Uchaguzi TZ hajui? hapo ndipo nikakosa jibu la kumpa!


Yuko sahihi ! Ungemjibu hatujapigana bado !
Siku Rais wao alipojiapisha baada ya kumteka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, na walioshindwa wakaamua kushughulika mtaani, ilikuwa ni promotion tosha !
 
Yuko sahihi ! Ungemjibu hatujapigana bado !
Siku Rais wao alipojiapisha baada ya kumteka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, na walioshindwa wakaamua kushughulika mtaani, ilikuwa ni promotion tosha !

yaani umetoa jibu poa sana. Nakupatia LIKE zangu kibao.
 
Ni kweli Mzee ! Hata Bar wanaenda kikabila na kuishi mjini pia wana kaa kikabila, hivyo hawezi kuwa na interest na wengine !

Kweli mkuu! Hata kondakta na dreva wa matatu wanakuwa kabila moja, hawawezi kuwa mixed tribes, hawaaminiani wala kupendana.
 
Kujipendekeza kwa wakenya kumeanzia humu jf kwa kuwapa majukwaa maalumu wakati katika mitandao yao huwezi kukuta
 
Aah wap huyo mkenya anazuga 2. Ingekua hvyo kina odinga wasingewalika kina magufur,mbowe kuwakampenia. Walijua fika wakenya wanawajua kina magufur ndo mana odinga akawaita.
Huyo mzugaji kweli mbona hili wanalijadili from BBC Swahili[h=5]MATOKEO YA KIDATO CHA NNE TANZANIA YAMEWASHANGAZA WENGI KENYA NA BADO NI GUMZO KUBWA KWANI WAMEKUWA WAKIFUATILIA MASWALA YA TZ......WANAFUNZI ASILIMIA 60 WANAPATA SUFURI? MWENGINE BADALA YA KUJIBU MASWALI ALIKUWA ANAANDIKA WIMBO? KWA NINI WANAFUNZI WAMEFELI HIVI?[/h]
 
Yuko sahihi ! Ungemjibu hatujapigana bado !
Siku Rais wao alipojiapisha baada ya kumteka Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi, na walioshindwa wakaamua kushughulika mtaani, ilikuwa ni promotion tosha !
Ally sio kupigana tu, wakenya wako juu, juzi mdahalo wao umerushwa live na al jazeera, bongo ukirusha mdahalo unafutwa kazi( Tido)
 
Nilikuwa naongea na jamaa mmoja Mkenya, kama kawaida mambo ya siasa yakaanza na Uchaguzi, jamaa akaniuliza ''It seems you people you know alot about Kenyan politics, how come i dont know anything about Tanzanian politics?'' nikakosa jibu, sijui wewe ungemjibu vipi yule jamaa?

Kwani kwenye uchaguzi uliopita yeye alikuwa bado hajawa mkenya?
 
Ungemwambia waTz ni watu wasomi (analytical) na usidhani wanaijua kenya tu nchi kibao wanazijua. Aini usiamini wengi wako hivyo (pasive) kwani mimi nilienda Enuggu watu kibao hawaijui Tz!
 
We area special people up north! politics in kena puts the region in the world radar and possibly TZ benefits ...u guys shud thank us...anaglieni siasa ya Norht Korea..it makes th3e south benefit! angalia pakistan na India...mmmmm maji baridi

  • :smile-big:

jibu swali.
 
We area special people up north! politics in kena puts the region in the world radar and possibly TZ benefits ...u guys shud thank us...anaglieni siasa ya Norht Korea..it makes th3e south benefit! angalia pakistan na India...mmmmm maji baridi

  • :smile-big:

acha kujisifia. jibu swali hapo juu.
 
Ungemwambia waTz ni watu wasomi (analytical) na usidhani wanaijua kenya tu nchi kibao wanazijua. Aini usiamini wengi wako hivyo (pasive) kwani mimi nilienda Enuggu watu kibao hawaijui Tz!

Enugu ndio wapi?
 
Hilo swali nisingeweza kumuuliza kwa maana jibu lake liko wazi Marekani ni Taifa kubwa na ndio maana wanajua mambo yake, sasa kwani nao Kenya ni taifa kubwa kama Marekani mpaka itufanye tusilale kutwa kujadili siasa zao, nafikiri ndio hicho kilichomshangaza?

Ungemwambia ajenge tabia ya kuangalia tv mbalimbali za TZ, asome magazeti, majarida na vipeperushi mbalimbali vya nchini kwake, nchi jirani na duniani (kupitia tovuti), ili aboreshe ufahamu wake kuhusu mambo mbalimbali. Usipumbazwe na hoja za kipumbavu kuwa hatuna elimu kwetu licha ya kuwa na uchwara mwingi kwenye siasa zetu.
 
Ttzo watanganyika wanapenda kuingilia siasa za nchi nyengine,labda tuite umbea,hata z'br siasa zake imevamiwa na watanganyika 1964 mpaka leo siasa za z'br zinaamuliwa dodoma.
 
Back
Top Bottom