nasikiasikia tu mkemia ila sijajua ni mtu wa aina gani na inatakiwa usome masomo gani ili uwe mkemia..
tafadhali mwenye kujua anijuze zaidi au kama kuna mkemia humu aseme sehemu alizopitia hadi kuwa mkemia
vipi sehem zenu mnazofanyia kazi ni zipi
vipi competition yake katika ajira ikoje?
nimechaguliwa special diploma udom (chem&math) vipi kwa baadae nikitaka kujiendeleza naweza kuwa mkemia?
thanks,,kwahiyo nikipiga diploma chem&math kwenye degree nikapige chem pekeake?
yes unaweza kusoma bsc chemistry baada ya kumaliza diploma yako
au unaweza soma bsc with education (chem and math) halafu baadae unasoma masters of science in chemistry,,mwalimu wangu mmoja wa olevel alipita njia hii sasa ni mkemia kaspecialize kwenye mafuta na gesi japo ni njia ndefu kidogo
Akimaliza Masters of Science in Chemistry, ajitahidi awe na PhD ya Chemistry na ataweza kuwa mgombea urais kupitia CCm Kama John Pombe
yes unaweza kusoma bsc chemistry baada ya kumaliza diploma yako
au unaweza soma bsc with education (chem and math) halafu baadae unasoma masters of science in chemistry,,mwalimu wangu mmoja wa olevel alipita njia hii sasa ni mkemia kaspecialize kwenye mafuta na gesi japo ni njia ndefu kidogo
kuwa serious mkuu
yes unaweza kusoma bsc chemistry baada ya kumaliza diploma yako
au unaweza soma bsc with education (chem and math) halafu baadae unasoma masters of science in chemistry,,mwalimu wangu mmoja wa olevel alipita njia hii sasa ni mkemia kaspecialize kwenye mafuta na gesi japo ni njia ndefu kidogo