pombesigara0
Member
- Nov 5, 2021
- 21
- 14
Hakika.Tofauti Ni siku 2.
Hakika.Tofauti Ni siku 2.
Shukrani kwa Taarifa.mchakato unaendelea katikati ya mwezi wa pili wanatoa majina shortlisted.
Tulipo fikia hali ni mbaya sana, watu wanaishi kama mashetani, nchi imekua ngumu kutafuna na chungu kumezaHizi nafasi zilienda wpi jamani tangu August Hadi leo hii au wamehairisha ujue wanaweza wakawwa wamehairisha kwa nyakati hiz Hili ni jambo la kawaida hawaogop now
Nikikumbuka pesa niliyowapa wale madogo kwa intavyuu roho inauma alafu wakawahirisha paper, kwa kuvuja.Hizi nafasi zilienda wpi jamani tangu August Hadi leo hii au wamehairisha ujue wanaweza wakawwa wamehairisha kwa nyakati hiz Hili ni jambo la kawaida hawaogop now
😁😁😁 Safi Sana, kilimo kwanza.Mapori Ni mengi Sana 😁😁😁😁Sheria ya tangazo la kazi ikishapita miezi 3, basi ujue usaili umeshaghairishwa
Marehemu alale mahali pemaHizi nafasi zilienda wpi jamani tangu August Hadi leo hii au wamehairisha ujue wanaweza wakawwa wamehairisha kwa nyakati hiz Hili ni jambo la kawaida hawaogop now
So sad,Maisha sio ya mchezo aisee.
Alale vipi pema wkt yeye mifumo yote ya ajira aliivuruga hovyo hovyo.Akalale alikojichaguliaMarehemu alale mahali pema
Haswaa maisha ya bongo ni kitendawili ambacho mtego wake kuvumbua ni mgumuSo sad,Maisha sio ya mchezo aisee.
Mpuuzi huyo,sasa kujinyonga ndio amesolve kitu gani,hapa Tanzania yeye tu ndio asiyekua na ajira?So sad,Maisha sio ya mchezo aisee.
Sio raia wote wanaroho ngumu kama ww na mm, psychologically binadam tumetofautiana uwezo wa kuhimili shidaMpuuzi huyo,sasa kujinyonga ndio amesolve kitu gani,hapa Tanzania yeye tu ndio asiyekua na ajira?
Mtu mpaka unafika chuo kikuu means kuna psychological barriers kibao tu unaweza kuziovercome.Sio raia wote wanaroho ngumu kama ww na mm, psychologically binadam tumetofautiana uwezo wa kuhimili shida
Direction ya kusoma na direction ya ridhiki havifanani, ukiwa shule unajua ukikaza Buti unamaliza stage moja kwenda ngazi nyengine ya juu ya elimu, hivyo formula inakua applied.Mtu mpaka unafika chuo kikuu means kuna psychological barriers kibao tu unaweza kuziovercome.