Mkeka wa TRA lini?

Mkeka wa TRA lini?

Baada ya uchunguzi wangu Wa kina pamoja na kujaribu kuwatafuta watu waliotwa kwenye interview ya TRA Dodoma .
Leo hii nahitimisha kuwa walioomba TRA na hamjaitwa ushapita hio Interview ilishafanywa zamani na utumishi walichambua very talented in terms of experience and Elimu ndio walioitwa wengine waliona ni jau na lawama kuwaita watu kati hizo nafasi zilishakuwa fixed na intern pamoja na wamchongo.

NB:Tuendelee kula nyama ziko chini
Waliitwa lini mkuu na why wasitangaze public kuwa hakuna usaili?
 
Baada ya uchunguzi wangu Wa kina pamoja na kujaribu kuwatafuta watu waliotwa kwenye interview ya TRA Dodoma .
Leo hii nahitimisha kuwa walioomba TRA na hamjaitwa ushapita hio Interview ilishafanywa zamani na utumishi walichambua very talented in terms of experience and Elimu ndio walioitwa wengine waliona ni jau na lawama kuwaita watu kati hizo nafasi zilishakuwa fixed na intern pamoja na wamchongo.

NB:Tuendelee kula nyama ziko chini
Hujachunguza
 
Baada ya uchunguzi wangu Wa kina pamoja na kujaribu kuwatafuta watu waliotwa kwenye interview ya TRA Dodoma .
Leo hii nahitimisha kuwa walioomba TRA na hamjaitwa ushapita hio Interview ilishafanywa zamani na utumishi walichambua very talented in terms of experience and Elimu ndio walioitwa wengine waliona ni jau na lawama kuwaita watu kati hizo nafasi zilishakuwa fixed na intern pamoja na wamchongo.

NB:Tuendelee kula nyama ziko chini
😄😄 bangi nibangue.

Tuma salamu kwa watu watatu.
 
Vuteni subira,shirika la reli (TRC) lenyewe lilitangaza kazi zao tarehe 15/11/2021 Ila wameitwa kwenda kwny interview tarehe 5/2/2022 wkt TRA yenyewe ilitangaza kazi zao mbele ya TRC kwny tarehe 20/11/2021 huko,kaeni kiaskari.
Eh! TRA deadline ilikuwa tarehe 4/11/2021 mzee!
 
Nimeongelea tarehe ya kutoa tangazo na sio deadline.
.
Screenshot_20220124-224807.jpg
 
Back
Top Bottom