Gojaga Nize
JF-Expert Member
- Jul 1, 2015
- 3,177
- 2,538
Mchango wangu ni kama walivyosema hapo juu
Mwanamke haruhusiwi kuchepuka, ulisikia wapi kwenye historia ya Dunia hii mwanamke mmoja akaolewa na zaidi ya mwanaume mmoja? Ila sisi Masheikh mpaka sasa tunaoa hadi 4 teh teh teh!Ah ah ah unaogopa if anachepuka? Uhiii wew huchepuki? Kama unagawa mkia wake na yy lazima agawe kipoch manyoya. Kama mchezo tunaita draw.
Sawa kabisa mkuu, hasa hawa kina nanihii humu ndani cjui kama kweli wameolewa!mpeleke mahakamani kwanini aingilie uhuru wako...mimi ni Mwanasheria nitafute nina kuhakikishia tutashinda hiyo kesi saa 2 asubuhi na fidia atakulipa na itakuwa fundisho kwa wengine wanaotunyima raha...
ukishaolewa kaa nyumbani tulia kama unaenda kazini nenda kwa amani mambo ya kupekuana pekuana kama nimeona mpepelezi sitaki
Hata nikituma pesa kwa mchepuko pia nimtaarifu?Yap, especially kukiwa na vimambo vya siri siri, vitabia visivyoeleweka n.k wewe na mkeo hakuna siri kati yenu hata kama umetumia rafiki ako pesa kumshirikisha mkeo haimaanishi ndio kuomba ruhusa katika story tu unamwambia dah flani ana shida unaeongeza na chumvi kalala njaa siku ya tatu leo kaniomba hela ya kula nimemrushia elf 20. Ukishamwambia hivo kuna ubaya? Saa ngapi ataanzisha kesi hapo, Ila ukishafanya siri akigundua ye mwenyewe ndo timbwili linaanza na kupekuana kunaanzia hapo
Good na ndio hicho mkeo anachofatilia, wewe unatuma hela kwa michepuko mkeo kutumia hela kuhonga huko siijui voda siijui tigo unajitia inakuuma acha ubinafsi or tulia kama unanyolewa na mkeo nae afanye yakeHata nikituma pesa kwa mchepuko pia nimtaarifu?
Siku nyingine ukihitaji ushauri wa wanandoa tu tuma thread zako kwanza pm, na kama ushafanya maamuzi yako umeomba ushauri wa nini sasa?Sawa kabisa mkuu, hasa hawa kina nanihii humu ndani cjui kama kweli wameolewa!
Na mkeo akishajua kuwa umemgroup kama adui lazima akusaliti sabab hakuna namna nyingine.kumfanya mke ajue kila kitu sawa na kuuza ramani ya vita kwa adui wewe!!
Ninakuhakikishia kipindi mkeo atakubaliana na wewe uwe na siri zako na mambo yako naye ameamua kuwa na siri zake na mambo yake.Alichofanya mkeo ni kosa. Mpo kwenye ndoa lakin kujua taarifa bila ruhusa yako si jambo zuri. Kemea hiyo tabia. Ikijenga miziz litakuwa tatizo kwako. Kama wewe ni mfanya biashara linaweza kusababisha uhusiano wako na wateja zako ukaharibika. Nina experience amini hilo.
Mmmh!Yes mwanaume ndo kicha cha family kuna vitu unatakiwa kusimama kama mwanaume na kuna vitu vya kushirikiana kma familia mwanaume aondoe kwanza tatizo.
Hahahaaa. ... mkisikia wake kuchepuka vinawauma kwelikweli,Mwanamke haruhusiwi kuchepuka, ulisikia wapi kwenye historia ya Dunia hii mwanamke mmoja akaolewa na zaidi ya mwanaume mmoja? Ila sisi Masheikh mpaka sasa tunaoa hadi 4 teh teh teh!
Wewe huna ndoa umeamua kutunga tu,Sawa kabisa mkuu, hasa hawa kina nanihii humu ndani cjui kama kweli wameolewa!
Weee, ishia hapo hapo! Kama ningekuwa bora mume, mke wangu angekuwa anahaha kupiga magoti mpaka sasa akiomba msamaha? Anajua fika nikiamua kumshtaki wenzie wanabeba mumewe, na alishakiri kuwa kama cpo kwenye maisha yake na yeye hayupo duniani. Ila kutokana na michango yenu (siyo wewe) nimeamua nisimshtaki na ndio kwanza tumemaliza kujadili tatizo husika kama wanandoa na kufikia muafaka wa kumsamehe baada ya kukiri kosa lake tena akisema wazi ilitokana na wivu wake uliopindukia!Wewe huna ndoa umeamua kutunga tu,
Na kama unawatoto huyo ni mzazi mwenzio tu na mlishachokana so unatafuta uhalali wa kubwagana,
Na kama kweli una ndoa basi ni ndoa changa Wewe mwenyewe akili changa na uliingia kwenye ndoa fasheni.
Huna hata chembechembe za kufaa kuwa mume bora labda bora mume.
Ukweli mchungu.... Unauma kuliko kristapen 😀Hahahaaa. ... mkisikia wake kuchepuka vinawauma kwelikweli,
Ila wanaume kuchepuka ni urijali.
Hahahaaa. .... ukigawa game nje lazima na yeye agawe game nje tuuu sabab hakuna namna nyingine
KwakoWewe unadhani ikizama inakula kwangu au kwa huyo mwenzio?
Weee, ishia hapo hapo! Kama ningekuwa bora mume, mke wangu angekuwa anahaha kupiga magoti mpaka sasa akiomba msamaha? Anajua fika nikiamua kumshtaki wenzie wanabeba mumewe, na alishakiri kuwa kama cpo kwenye maisha yake na yeye hayupo duniani. Ila kutokana na michango yenu (siyo wewe) nimeamua nisimshtaki na ndio kwanza tumemaliza kujadili tatizo husika kama wanandoa na kufikia muafaka wa kumsamehe baada ya kukiri kosa lake tena akisema wazi ilitokana na wivu wake uliopindukia!