miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
Pole mshtaki halafu mnafungaje ndoa huku meingine akiwa mashariki mwingine kusini hapo kwanza Amna ndoa pili ndoa nikuwa mwili mmoja unaweka siri ya nin?
Acha zako mkuuMke wako wa ndoa na unampenda! hamna sababu ya kupaniki umekosea kutokuwa muwazi kwake. Wazo langu kaa naye chini mweleze ukweli wa mambo, usimfiche fiche vitu ni mkeo wa ndoa huyo. Naamini utakuwa ok.
Huyu jamaa akiendelea kulialia hapa yataibuka na mengine afate ushauri nlo mpa kwanza. Ndipo mambo ya suluhu yafateSio halali. Kimsingi hakuna mtu aliye perfect, hivyo kama umekosea au yeye kakosea njia sahihi ya kusuluhisha ni mazungumzo na kufahamishana wapi mmoja kakosea. Hii inasaidia hata kuliepuka hilo kosa siku za mbeleni. Uwazi na kuongea lugha moja ni nguzo muhimu kwenye ndoa.
Whats your intention mkuu kwahyo unafurahia kuingiliwa kwenye mawasiliano yako??Ningependa zaidi kupata michango toka kwa wazoefu wa ndoa kuliko wale wenye ndoa za "kufikirika" vichwani.
Nimeishia kumshangaa inaonekana kunakitu nyuma ya pazia haiwezekani mkeo ku hack simu yako bila sababuMtoa mada ameoa kwa ajili ya tendo la ndoa tu. Eti anamshtaki mkewe amesoma sms zake zote.
Yes mwanaume ndo kicha cha family kuna vitu unatakiwa kusimama kama mwanaume na kuna vitu vya kushirikiana kma familia mwanaume aondoe kwanza tatizo.Yani wote wewe na mkeo hamjielewi kabsa MNA umri gani kwanza?!
Mwanaume ni kichwa cha familia achana kushindana na mkeo.....
Yes mwanaume ndo kicha cha family kuna vitu unatakiwa kusimama kama mwanaume na kuna vitu vya kushirikiana kma familia mwanaume aondoe kwanza tatizo.
Napata shida sana watu wengine wanapochangia ki-gender gender. Title peke yake inasema hv: "Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu", usisome uzi kwa makengeza ili mradi tu jicho moja litazame gender! Kwa mujibu wa ile sheria ya Makosa ya Mtandao hii ni police case!Mtoa mada ameoa kwa ajili ya tendo la ndoa tu. Eti anamshtaki mkewe amesoma sms zake zote.
Kwa watumishi wa uma wanandoa kukaa huku na kule ni jambo very common au tuache kazi kisa ndoa?Pole mshtaki halafu mnafungaje ndoa huku meingine akiwa mashariki mwingine kusini hapo kwanza Amna ndoa pili ndoa nikuwa mwili mmoja unaweka siri ya nin?
Issue siyo cmu, ni kosa la jinai alilofanya chini ya mwavuli wa ndoa, unaniambia nikimpeleka mahakamani wata-drop case kwa kuwa ni cmu tu? Soma angalau title peke yake ndio uchangie, sielewi pale mtu anapokimbilia kuchangia wakati hata kichwa cha habari hajakielewa!Sehem za siri zenu mnaonyeshana hadi kuzaa watoto wawili, Ila sim inakufanya umshtaki!
Nimethibitisha kuwa hz sms amezipatia kwangu kwani zile za Mpesa zinaonesha amount iliyotumwa hadi salio la mtumaji, haiwezekani aliyetumiwa pesa atumiwe na salio lako!Regardless ..... .... hakuna siri chini ya jua ..... hizo sms anazipata kwa hao unaowatumia .... because hao wanaojifanya wanafanya siri na wewe they are bluffing you
Nashukuru, kweli wewe ni Kubwa Lao. In fact alianza tabia ya kunichunguza kwa kutumia watu tulio kuwa nao karibu kama vile majirani zangu na wafanyakazi wenzangu na baadaye akagundua kuwa hao hao wanamgeuka kwa kuja kuniambia hivyo akabadili style. Tatizo kubwa lililopelekea yeye kuanza tabia hiyo ni baada ya yeye kugundua kuwa nina kamchepuko ingawa hili tulishalijadili kama wanandoa na kulimaliza yapata miaka 3 sasa.Lkn pia mpk mkeo kufikia hatua hiyo ni wazi kabisa wewe ni straiker mwenye vichepuko so kaingia hofu na wewe!!
Hebu weka sababu basi zilizopelekea mkeo kufanya hilo, weka dhambi zako ili tujue pumba na mchele ni upi sio tu tunakushauri wakati huenda we ndie mwenye shida
Mapadri wanao washauri huwa wana uzoefu na ndoa?wacha kuanza kubagua watu wa kukushauri ni juu yako kufuata au kukataa.Ningependa zaidi kupata michango toka kwa wazoefu wa ndoa kuliko wale wenye ndoa za "kufikirika" vichwani.