Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

Mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu

[MpiganiaUhuru, post: 15110964, member: 75976"]Kama umesoma vizuri post yangu ni kuwa mambo ya Mpesa nilitoa kama mfano, otherwise nilisema ana sms zangu zote kwenye cmu yake![/QUOTE]

Regardless ..... .... hakuna siri chini ya jua ..... hizo sms anazipata kwa hao unaowatumia .... because hao wanaojifanya wanafanya siri na wewe they are bluffing you
 
Hio ni kukata communication za app aliyoinstall kukuspy katika simu yako na kuhusu laini kama kuna mtu aliyomuunganishia direct kutoka kwenye kampuni ya simu
 
Kuhack simu bila kupata simu yako ningumu sana,labda mkeo nae kama anakabuzi kampuni moja ya simu ambako ndio kanampa taarifa zote,ivyo nimoja ya kutafuta njia ya kuachana na wewe sasa kajamaa kanajitahid kumpa hiyo miamala na text ili ajue pa kuanzia
MpiganiaUhuru fanyia kazi ushauri huu. Una ukweli mwingi, unless awe anapata messege kutoka line zote (in case una line zaidi ya moja).
 
Acha kupaniki we dogo.

Wewe kuwa mkweli na mwaminifu tu kwa mkeo [alimradi na yeye awe hivyo] na haya matatizo hayatakutokea.
Ni kweli anatakiwa kuwa mkweli kwa mke wake hilo moja pia anatakiwa aisha na mke wake kwa AKILI. Mke hatakiwi afahamu kila kitu afanyacho mume wake.
 
i smell something.....here! usiangalie matokeo ila angalia chanzo. mkeo amepataje wazo la kuhuck simu yako?jitathmini mwenendo wako !kisha angalia unaishije na mkeo?......
ushauri wa bure,kama kuna uwezekano wa kuishi na mkeo mkoa mmoja basi fanya hivyo....long distance ina madhara yake hasa kama mshafikia hatua kama hiyo ya KUTOAMINIANA.
 
Habari wanajamvi,

Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua kuwa mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu na kuweza ku-access mawasiliano yangu yote hasa ya sms tokea mwezi wa 10 mwaka jana 2015 na kuzihifadhi kwenye simu yake. Sina uhakika kama aliweza kupata mawasiliano mengine tofauti na sms. Ninasema ku-hack kwa sababu tunaishi mikoa tofauti na hivyo hakuwa na namna yoyote ya ku-access simu yangu physically toka wakati huo, pia cmu yangu ambayo ni smart phone ina security (password) in case angetumia mtu aliye karibu yangu. Nimegundua hii hacking baada ya kuwa na hali ya kutoelewana kati yetu kwa muda sasa ambapo pamoja na mambo mengine niligundua kuna taarifa zangu za siri anazozifahamu ndipo nilipoanza uchunguzi na kugundua kuwa ana hizo sms. Miongoni mwa sms anazoshikia bango ni zile zinazohusiana na miamala ya Mpesa ambapo nimewatumia pesa ndg, jamaa na marafiki ambao ckuona umuhimu wa kumtaatifu hivyo akazijengea hoja mbali mbali ikiwemo ya uhusiano wa kimapenzi wakati si kweli! Nimejaribu kumbana aseme amewezaje ku-access "private communications" zangu ila amegoma kabisa kuweka wazi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa hana utaalam wowote wa masuala ya mawasiliano!
Kwa kuzingatia usumbufu uliojitokeza kwa kuingilia mawasiliano yangu ya siri hasa kupitia mis-perception ya taarifa alizokutana nazo, nimepata wazo la kumshtaki kwa mujibu wa ile SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015 ila nikaona kabla cjafanya hivyo nililete suala hili hapa ili nipate michango yenu ya mawazo hasa juu ya nini cha kufanya. Suala hili limenichanganya sana hasa ukizingatia kuwa tumekuwa kwenye ndoa takribani miaka 8 sasa na tuna watoto 2. Naombeni michango yenu ya mawazo.

Ahsante!
Mkeo Ana bahati Sana ya kuwa na mume aliyetoka nje ya mkoa ule ambao wanaume wanazimisha maisha ya wake zao kwa mizozo kama huu. Haya tumeyaona sana hapa jamvini hivi karibuni. Ninakubaliana na mawazo ya wengi hapo juu Lakini niongeze tu nimeshangaa uliposema wewe na Mkeo mnaishi mikoa tofauti. Hapo kunatia shaka kama mna ndoa na hili linaweza kuwa ndio sababu ya mke kutokuwa na trust kwako.
 
Watu mnaingiaga kwenye ndoa huku mkiwa hata hamjielewi.

Inavyoonekana mnaingiaga tu ili kukidhi matakwa potofu ya jamii.

Sasa wewe unalalamika eti mkeo anazifahami taarifa zako za siri.

Siri gani hizo ilhali mko kwenye ndoa?

Au mliwekeana makubaliano ya mipaka kwenye ndoa yenu kabla hamjaifunga?

kumfanya mke ajue kila kitu sawa na kuuza ramani ya vita kwa adui wewe!!
 
huwezi mshtaki mkeo kwa namna yyte ile,maisha yana leo na kesho kama alihack kwa sababu za kukudhuru hapo sawa,lakini kama alihack kwa ajili ya kulinda na kutaka kujua mali zenu zinavyotumika ndivyo sivyo mpe hongera pia anajali,
 
Watu mnaingiaga kwenye ndoa huku mkiwa hata hamjielewi.

Inavyoonekana mnaingiaga tu ili kukidhi matakwa potofu ya jamii.

Sasa wewe unalalamika eti mkeo anazifahami taarifa zako za siri.

Siri gani hizo ilhali mko kwenye ndoa?

Au mliwekeana makubaliano ya mipaka kwenye ndoa yenu kabla hamjaifunga?

Mkuu Nyani Ngabu.
Acha Povu. Ni vyema tungemsaidia huyu jamaa.
 
Habari wanajamvi,

Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua kuwa mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu na kuweza ku-access mawasiliano yangu yote hasa ya sms tokea mwezi wa 10 mwaka jana 2015 na kuzihifadhi kwenye simu yake. Sina uhakika kama aliweza kupata mawasiliano mengine tofauti na sms. Ninasema ku-hack kwa sababu tunaishi mikoa tofauti na hivyo hakuwa na namna yoyote ya ku-access simu yangu physically toka wakati huo, pia cmu yangu ambayo ni smart phone ina security (password) in case angetumia mtu aliye karibu yangu. Nimegundua hii hacking baada ya kuwa na hali ya kutoelewana kati yetu kwa muda sasa ambapo pamoja na mambo mengine niligundua kuna taarifa zangu za siri anazozifahamu ndipo nilipoanza uchunguzi na kugundua kuwa ana hizo sms. Miongoni mwa sms anazoshikia bango ni zile zinazohusiana na miamala ya Mpesa ambapo nimewatumia pesa ndg, jamaa na marafiki ambao ckuona umuhimu wa kumtaatifu hivyo akazijengea hoja mbali mbali ikiwemo ya uhusiano wa kimapenzi wakati si kweli! Nimejaribu kumbana aseme amewezaje ku-access "private communications" zangu ila amegoma kabisa kuweka wazi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa hana utaalam wowote wa masuala ya mawasiliano!
Kwa kuzingatia usumbufu uliojitokeza kwa kuingilia mawasiliano yangu ya siri hasa kupitia mis-perception ya taarifa alizokutana nazo, nimepata wazo la kumshtaki kwa mujibu wa ile SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015 ila nikaona kabla cjafanya hivyo nililete suala hili hapa ili nipate michango yenu ya mawazo hasa juu ya nini cha kufanya. Suala hili limenichanganya sana hasa ukizingatia kuwa tumekuwa kwenye ndoa takribani miaka 8 sasa na tuna watoto 2. Naombeni michango yenu ya mawazo.

Ahsante!
Wala usipaniki!!
Kaa nae chini umueleze athari za hayo aliyoyafanya mana huenda yakapunguza mapenz au pia ndoa yenu ikabomoka kama si kuvunjika.

Lkn pia mpk mkeo kufikia hatua hiyo ni wazi kabisa wewe ni straiker mwenye vichepuko so kaingia hofu na wewe!!

Hebu weka sababu basi zilizopelekea mkeo kufanya hilo, weka dhambi zako ili tujue pumba na mchele ni upi sio tu tunakushauri wakati huenda we ndie mwenye shida
 
Amejuwaje hayo maujanja? Hakuamini. Naye ana mtu mitandaoni, ukila nawe unaliwa.

Haileti afya kwenda mahakamani. Aseme ukweli ili yaishe.
 
Alichofanya mkeo ni kosa. Mpo kwenye ndoa lakin kujua taarifa bila ruhusa yako si jambo zuri. Kemea hiyo tabia. Ikijenga miziz litakuwa tatizo kwako. Kama wewe ni mfanya biashara linaweza kusababisha uhusiano wako na wateja zako ukaharibika. Nina experience amini hilo.
 
Habari wanajamvi,

Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua kuwa mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu na kuweza ku-access mawasiliano yangu yote hasa ya sms tokea mwezi wa 10 mwaka jana 2015 na kuzihifadhi kwenye simu yake. Sina uhakika kama aliweza kupata mawasiliano mengine tofauti na sms. Ninasema ku-hack kwa sababu tunaishi mikoa tofauti na hivyo hakuwa na namna yoyote ya ku-access simu yangu physically toka wakati huo, pia cmu yangu ambayo ni smart phone ina security (password) in case angetumia mtu aliye karibu yangu. Nimegundua hii hacking baada ya kuwa na hali ya kutoelewana kati yetu kwa muda sasa ambapo pamoja na mambo mengine niligundua kuna taarifa zangu za siri anazozifahamu ndipo nilipoanza uchunguzi na kugundua kuwa ana hizo sms. Miongoni mwa sms anazoshikia bango ni zile zinazohusiana na miamala ya Mpesa ambapo nimewatumia pesa ndg, jamaa na marafiki ambao ckuona umuhimu wa kumtaatifu hivyo akazijengea hoja mbali mbali ikiwemo ya uhusiano wa kimapenzi wakati si kweli! Nimejaribu kumbana aseme amewezaje ku-access "private communications" zangu ila amegoma kabisa kuweka wazi. Cha kushangaza zaidi ni kuwa hana utaalam wowote wa masuala ya mawasiliano!
Kwa kuzingatia usumbufu uliojitokeza kwa kuingilia mawasiliano yangu ya siri hasa kupitia mis-perception ya taarifa alizokutana nazo, nimepata wazo la kumshtaki kwa mujibu wa ile SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015 ila nikaona kabla cjafanya hivyo nililete suala hili hapa ili nipate michango yenu ya mawazo hasa juu ya nini cha kufanya. Suala hili limenichanganya sana hasa ukizingatia kuwa tumekuwa kwenye ndoa takribani miaka 8 sasa na tuna watoto 2. Naombeni michango yenu ya mawazo.

Ahsante!
Mkuu nisikize mimi mkeo haja hack simu yako kama unataka kuamin hilo nunua smu ya kawaida ambayo hiana 4G.3G. Au Wi-fi au GPS au kama vip badilisha simu nyingine tu ya android na weka email nyingine ya gmail. Na hakikisha humuoneshi mtu password ya email yako au kumpa mtu simu akaweza ku access app store.


Au pia cha kukusaidia kingine hiyo android uza na nunua IOS PHONE ambazo ndo jamii ya apple hiyo hainaga ujinga kama wa android maana apple kila mtu ana id yake.

Wakat android unaweza tumia gmail zaidi ya moja.

Fata ushauri wangu.

Kuna appa moja kaiweka kwenye simu yako na eidha ana tumia email yako au email anoijua yeye cha kufanya kingine chunguza appa zako kuna kitu kinaitwa android lost usije shangaa sku moja akakupiga picha au akarekodi maongezi yako ya faragha.

Ila sms za whatsApp haweza access ni za kawida kila sku anauwezo kudukua meseji 500 maana atakua ana i control smu yako.

Fata ushauri wangu na hatunzi kwenye simu hizo anatunza kwenye computer kwa maana simu haiweza kuispy simu nyenzake ni lazima awe na kifaa kikubwa kama tablets au pc

FAta ushauri wangu kudumisha maelewano katika ndoa tako takatifu.
 
Back
Top Bottom