Mke wangu kuvaa nguo zangu za ndani

Mke wangu kuvaa nguo zangu za ndani

Umenikumbusha kondakta mmoja alikuwa amevaa chupi ya kike kila akitoa kichwa nche kuita watu shati linapanda suruali yenyewe amepiga mlege chupi ya kike ikawa inaonekana basi watu mle ndani wakawa wanasema huyu itakuwa ndiyo anaanza ushoga, mwingine akasema huyu atakuwa pengine amefumaniwa zile harakaharaka ndiyo akavaa kyupi cha kike, ila mama mmoja akasema haya ni mapenzi unaweza ukavaa chupi ya mkeo naye akavaa ya kwako.. Hapo ndipo ulipozuka mjadala mzito wengine wakisema hayo labda mapenzi kwenye drama za kihindi naskitika nilishuka mjadala ukiwa unaendelea

huyo konda atakuwa na moyo kweli kweli
 
Mbona kawaida tu kama mnapendana!.
Mwache avae maana ndo mahaba hayo,yaelekea utajaomba msaada siku akiamua kukupa +255714 AU kukunyonya dushee.
Vitu vingine jiongeze mwenyewe bwana mkubwa!.
 
Umenikumbusha kondakta mmoja alikuwa amevaa chupi ya kike kila akitoa kichwa nche kuita watu shati linapanda suruali yenyewe amepiga mlege chupi ya kike ikawa inaonekana basi watu mle ndani wakawa wanasema huyu itakuwa ndiyo anaanza ushoga, mwingine akasema huyu atakuwa pengine amefumaniwa zile harakaharaka ndiyo akavaa kyupi cha kike, ila mama mmoja akasema haya ni mapenzi unaweza ukavaa chupi ya mkeo naye akavaa ya kwako.. Hapo ndipo ulipozuka mjadala mzito wengine wakisema hayo labda mapenzi kwenye drama za kihindi naskitika nilishuka mjadala ukiwa unaendelea

Hahahahaha basi majadala unaendelea humu
 
Mbona kawaida tu kama mnapendana!.
Mwache avae maana ndo mahaba hayo,yaelekea utajaomba msaada siku akiamua kukupa +255714 AU kukunyonya dushee.
Vitu vingine jiongeze mwenyewe bwana mkubwa!.

kazi kweli kweli
 
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia

Yaani na hili unakuja jf! Mmmh! Umeingia katika maisha ya mke na mme kabla ya kujiandaa!
 
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia
Hii inatoke kwako tuu!
 
Nyie wanaume Hamna akili yakujiongeza mm nilikua navaa za mme wangu kwakua nilikua napenda harufu yake Hee siku1akaona wacha anifokee bila hata kumuliza nilikoma namapenzi yakapingua
 
It's normal. Ni mapenzi tu
Halafu acha ushamba
 
Ni kawaida sana mbona. Shukuru Mungu hujakutana na boxer ngeni nyumbani.
 
Mnaooa bila kujua mapenzi ni sheeeedah. Hujakomaa kimapenzi umedandia tu. Hiyo ni sehemu ya mapenzi. Umemuingia vilivyo. Unamfikisha pahala pake. Inampunguzia mihemko wakati haupo. Uone sasa wewe badala uone ni kaeaida si ajabu umeshamkoromea mai waifu wako. Mapenzi jmn mtihani wa phd ci lelemama.

Well said
 
Nimeamini limbwata lipo, hiyo ni moja ya limbwata hasaa

Ukitaka limwata lisifanikiwe. rahisi xana nawe vaa zile bikini zake pamoja na g string zake 😂😂
 
Kawaida sanaaa..mi na mwenzangu mbona tunavaliana..hamna shida ni kushibana tu! And sometimes feeling ya ownership !
 
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia
Mkuu hiyo inatokea hata kwangu. Na hivi ana mahips basi anazitanua. Lakini ajabu ukimuachia havai tena. Na tshirt zangu, tena kama nikiwa mbali ndo usiseme. Atazivaa mpaka nirudi. Hasa zile ambazo nilizivaa nikaacha hazijafuliwa. Anasema anapenda kusikia harufu yangu. But it's all good, mi naona poa tu. Because she is doing for love
 
Baadhi ya wanawake uwa wanalalamika kuwa vyupi vyao vinawakosesha raha kwa kuwabana zile sehemu za maungio ya mapaja. Hivyo Akivaa boxer anakuwa huru na kujisikia vema. KUHUSU KUVALINA ndio mapenzi yenyewe hayo. Saa zingine anaweza vaa shati lako au Tshirt na akawa huru tu.
 
Naona kungwi keshajitokeza hapa...n'way,nauchukua ushauri wako ila ni mpana kidogo,anakuwa anazitanua
Ahsante kwa cheo ulichonipachika nimekikubali ukizingatia na umri pia. Hayo ndio mapenzi ya kweli. Siku hizi wstu wanajifanya busy sana mpk wanasahau vitu vidogovidogo sana vya kuwafanyia wenzi wao ndio maana mapenzi hauadumu.yapo mengi tu ya kufanya ila basi tu. Ningekuwa na muda ningrwapa darasa walau mara 1 per week na ndoa zenu zingewezs boreka walau kiduchu. Lini mara ya mwisho umemgusa mkeo bega lake? Lini umemnongoneza kitu? Hakuna/hukumbuki. Penxi hapo litatoka wapi??? Kwa heri
 
naznai hili si jukwaa lake lake-MOD wapeleke jukwaa husika
 
miaka kadhaaa kwenye ndoa but huwa sielewi kwanini waifu anapenda kuvaa boxer zangu,nimehsajaribu kuhoji but hanipi majibu ya kuridhsha.nashangaa kama hii inatokea kwangu tu au kwa wengine pia

Kungwi wako kaja tena. Ttz kubwa communication imeondoka majumbani mwetu. Mume na mke hawana mawasiliano ht chemmbe. Ht ile body language hakuna anayeitumia tena. Umemfunya mkeo lini? Ulimkonyeza lini? We baba wewe. Uliwahi kumnyo? Aliwahi kukunyoa? Hakuna. Unategemea nini? Mmepitwa na vingi. Ulimletea lini ht kiperfume cha cha 10,000? POOOOLEEE WEE
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom