pole sana m2 wangu kwa lililokukuta sio mbaya kwa upande mmoja kwamba unapata fahari una mrembo 2 pili ni hatari pia ikiwa shemeji atashindwa kujikontroo tokana na hizo sifa ambazo mimi naziita za kijinga na kupoteza heshima mliyoheshimiana mda wote,pia walimwengu sio wema sana kaa nao kwa akili wengine nyumba zao zimewashinda huku wanasifia za wenzao huo ni ushenzi,wewe linda nyumba yako braza.