SOCIETY'S FOCUS
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 424
- 490
- Thread starter
- #21
duh hongera kwa kuwa na demu mkali aiseee
miss chagga na we pia DEMU kama unaafiki
duh hongera kwa kuwa na demu mkali aiseee
hapa tena si ndo ntamuuza waukweli wangu kwa mamwinyi ya humu ndani
Sasa neno demu maana yake si ni jinsia ya kike hizo ni lugha za mitaani,huwezi kuwalazimisha watu waongee unavyotaka wewe ni kiasi cha kupotezea tu mimi sijaona tatizo hapo.
Ziba sura tuone neema za Allah...
sifanyi hio kazi, ungekua mchepuko sawa lkn wandoa never mzaz
Next time vaeni mabango Husband and Wife
ukali wa kitu inategemea na mwonjaji
Sasa kwanini uje utuulize hapa kama hutaki kutupa supporting evidence kuunga mkono hoja ya madogo au la....
Hapo ndio unamtia hasira mleta uzi maana atajua wale jamaa waliosema "jamaa ana demu bomba" watakuwa wameshaonja
Siyo kila kitu uambiwe! Ndo maana yakeHapo ndio unamtia hasira mleta uzi maana atajua wale jamaa waliosema "jamaa ana demu bomba" watakuwa wameshaonja
sio mimi ni vijana, hofu yangu mimi wife anaweza kuvimba kichwa na kunidharau
Mbona na wewe unaita wa wengine mademu? Kwa hiyo haikuwa haki wewe kukasirikamiss chagga nae utamuweza bwana, eti anawaunga mko madogo haelewi kumbe naye pia ni demu tu
lenu moja nisingekuepo mngemtongoza