The Icebreaker
Platinum Member
- Apr 24, 2014
- 34,404
- 103,848
Hii comment ina ashiria kua huyo mkeo kakutawala sana,amesha kuona wewe ni dhaifu mbele yake,sizan kama nimemkosea mpaka kufikia huko ila dah ngoja kwanza nipone japo kaomba msamaha nimemjibu sawa ila roho inakataa kumsamehe kwanza kanikosea pili katoka nje kani dhalilisha yakuwa nampiga kila siku huku akilia wakati si kweli meno yake sio shida, shida kutoa nje mambo
Kijana kaza kiume,wewe ndio mfalme wa hiyo himaya yako,
Huyo mkeo mpeleke kwao huko akajifunze adabu kwanza,ukisha mfikisha kwao,kata mawasiliano nae kabisa ili akili imkae sawa,
Ningekupa ushauri wa kumtwanga talako ila nimeona kabisa kua huna jeuri hiyo.