mimisa
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 2,511
- 1,441
mpe talaka mkeo..aende zake kwa amani..ila bado siamini..ivi aya mambo yapo bado eti ee?..kua kikao kimeamua ivo na ww umelipokea kwa mikono miwili kabisa eti?..
ukewenza mzigo bana..mwache mwenzio awe na amani.
ukewenza mzigo bana..mwache mwenzio awe na amani.
Eti ni kwa sababu kikao cha ukoo kilichokaa juzi kimeamua nimrithi mke wa marehemu kaka yangu aliyefariki mwezi uliopita kwa ajali ya gari.
Kwa mila na desturi zetu inaruhusu mdogo mtu au kaka mtu kumrithi mke wa ndugu yake pale anapofariki. Sasa namshangaa mke wangu kanuna wiki sasa anataka talaka yake aondoke.
Hivi hapa nimechanganyikiwa sijui nifanye nini maana mke wangu nampenda lakini pia nisingependa damu ya kaka yangu ipotee. Lazima mila iheshimiwe...