Na ya kufuta vumbi tv ipo pia?vipi ya kitandani? na kupanga siting room pia,na kutandika bedroom? ushauri huu wa under age.Mnunulie mashine ya kufua, ni elfu 95 tu.
Ni hiv,angalia trend,je hii ni tabia yake toka unamuoa? au ameanza karibuni?kama ni tabia yake toka zamani kabla ya kupata watoto hao wawili basi hiyo haiwezi badilika. Ila kama ni tabia mpya itabadilika ukizungumza naye kwa respect.usimfanye yeye kushinda home ndiyo hana cha kufanya.anza kutambua mchango wake kwenye familia kwa kukufulia nguo hata hizo chache,kulea watoto wenu,kukupikia,hata kama mchana hakuletei chakula huko ofisini kwenu,ila jioni unakutaga chakula ukirudi.hata tu kulinda nyumba yenu ni kazi kubwa.
Kifupi anza kutambua yale mazuri yake kwanza.ila kama unaishi na mke kama unaishi na mdada wa kazi,hata angekuwa mvumilivu vipi mwisho atachoka.
Labda nikwambie,kila ndoa unayoiona hapa duniani inachangamoto zake.Wako wanawake wanaofanya hayo uliyoyasema,ila pia ni wachepukaji,walevi,wachawi.wanachukia ndugu wa mme, so huwezi kuwa na mke mwenye sifa zote,yaaani in short hayupo,simply kwa sababu hakuna mwanadamu mkamilifu.
Naona umesema umefikiria kuwa na mchepuko,hilo ni bomu lingine bro. unaliandaa likulipue ufe.usijaribu hata kidogo.Ni bora uendelee kumkumbusha huyo mkeo hivyo hivyo kuhusu hilo suala la unyumba.
Tafuta tabia nzuri alizonazo na umpongeze na vifurahie.Ongea naye kwa heshima kama mke