Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

Wakubwa,kuna kitu kinaninyima raha sana.
Nikiwa faragha na mke wangu,nikimshika uke ili niuchezee huwa anautoa mkono wangu,kwa kweli hii hali inanisononesha sana.
Nifanyaje wakuu,au nimuache tu?
Yaani umuache kisa tu kakuzuia kushika k,,kinachotakiwa kushika ni kile kiungo chako kinachopenya,kitumia vizuri hicho kinatosha sana,kwakuwa pia ni zaidi ya kushika,labda kama hakupi,,!!! We ukirudi mshitaki kwa kesi yakukunyima haki yako baasi,tutakupa ushauri kabambe.
 
Viganja vya jamaa anaetaka kunyambua nyambua chiu ya mkewe.
cc_dpdt86-copy_16x9.jpg
 
Wakubwa, kuna kitu kinaninyima raha sana.

Nikiwa faragha na mke wangu, nikimshika uke ili niuchezee huwa anautoa mkono wangu, kwa kweli hii hali inanisononesha sana.

Nifanyaje wakuu, au nimuache tu?
Unakibamia hatak utanue zaid njia ikashindwa bana
 
Hili suala linaniumiza sana akili mkuu
Hujajihu swali langu,
Je, ukitumia dudu anasemaje? Sio kila mwanamke anapenda vidole huko chini, kun options nyingine unaweza kwenda nazo ili afurahi. Lakini pia huenda tecnic zako zinamuumiza, huenda una vidole vigumu vinamchubua, huenda unakandamizia badala ya kuwa gentle. Nyeti ni laini sana, zinahitaji ado ado🤪
 
Kale ni kalaini sana kama unavidole kama tangawizi lazima umkate stim, ushauri: kule panashikwa kama tayari amelainika, unachota ule uteute unakasugua taratibu yani kama unakageuza geuza kimtindo! Any way hii mada ni mapema sana kuileta hum
Haya baba Antiphasi, leo usiku uje utushushie uzi wa hili darasa, wanaume wengi wanalihitaji 🤣 🤣
 
Haya baba Antiphasi, leo usiku uje utushushie uzi wa hili darasa, wanaume wengi wanalihitaji 🤣 🤣
Mama Antipas hii nyanja ya mapenzi ni pana sana... Sema Nini wanawake mnatofautiana Kuna wengine kweli hawapendi kushikwa kunako na vidole wanataka dushe licheze kule tu ukifos kumshika huko unamkata stim hisia zinapotea
 
Back
Top Bottom