Hapendi kufanya na wewe, sisi huku tunampasua tu.Habari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Antena ipo?wengi ambao hawana antena huwa hawana/hisia zao huwa mbali sana na wanaloose confidenceHabari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
hata mm demu wangu yuko hvyo
lakn nliwah kusikia kuwa wengne ikitokea kama hawajazaa wanakuaga hvyo ila wakishazaa wanabadilika wanakua na hamu sana
unanicheka mkulu😭😭
Duh aiseee
Habari Yako?
Salama kichwa ,za siku tele?
ugonjwa wa mke wako ndo huo, nawa hivi hata mkiwa kwenye tendo utashughulika ww yeye katulia kama vle una-sex na gogo.. Loo! poleniWife wangu hana ule ujanja wa mapenzi..
MwacheHabari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Usioe huyo demu. Kwenye ndoa itakua x 2.hata mm demu wangu yuko hvyo
lakn nliwah kusikia kuwa wengne ikitokea kama hawajazaa wanakuaga hvyo ila wakishazaa wanabadilika wanakua na hamu sana
Achukue huu ushauri wako aufanyie kazi naamini utamsaidiqSawa, hilo tatizo kama ni la siku zote.
Jaribu kubadili namna wewe na mkeo mnawasiliana
Then kama unataka game mwandae mapema, chat zako au maongezi yako yawe ya kimahaba. through out
M'bembeleze hata kwa kitu kidogo tu.(jitahidi).
Na siku unapiga mambo hakikisha unamwandaa vyakutosha.
Mwanamke ukimwandaa vizuri lazima akitupie.
Wakati unafanya usiache kumsemesha. Msifie isifie K' yake ongea hata uongo ila uwe romantic.
Anapaswa kufurahi ili mara nyingine atake tena.
Wake za watu huwa wanaliwa kirahisi kwasababu kuna mambo waume zao hawafanyi na hii ni nature.
Narudia tena, mwandae mapema kabisa.
Mtie mshawasha tokea mchana.
Asipochange sasa uingie ndani zaidi ujue hilo tatizo lake la kihisia linasababishwa na nini.
Wanasikia nyeeeeeee ,nyepesi 🤣🤣🤣Kuna wanawake wanapenda sex sio mchezo..unaweza adika uzi wa kuomba apunguze