Mke wangu hanitaki

Mke wangu hanitaki

themibuilder-20180515-0001-jpg.788988
ha hahahaaa....hahahaaa dadeq
 
Mwambie sawa tuachane wewe shika hamsini zako na mimi nishike zangu
 
Msaada kila nikimkanya au kumuonya mke wangu kuhusu jambo fulani baya anakimbilia kusema tuachane nimechoka..sasa kauli hizi zinanichosha sielewi ana lengo gani maana hatutoweza kupanga lokote lenye manufaa.haupiti mwezi hatujagombana labda nikubali kuwa bwege ila mambo mengine roho inauma...unakuta watu wanamtongoza ukimwambia awe makini anakuuliza "mume wangu huniamini"
Tafuta pesa. Wala hutapata hii bughudha hata kidogo.
 
Mkuu,kuna siku moja huyo mkeo atakubwaga mazima yani,ushauri wangu jiandae pysychologicaly,au anza wewe kumbwaga.

Nasubiri mrejesho.
 
Iliwahi kutokea kwa mpenzi wanhu mmoja hv, kila kukitokea sinto fahamu hata umkute anaongea na simu na inaviashiria kuani mume mwenzangu yy atakimbilia tuachane.
 
Mkubwa kwangu mkuu halafu kama nlivyosema tuna undugu aisee
kwani mkubwa ndio hapigwi ...tena ungempiga ndio ingesaidia mnooo"" Maana angekaa chini na kutafakari vyema "" imekuwaje mtu mzima mpaka nikapigwa na mdogo wangu... yaweza kuwa sipo sahihi kweli "" wapi nakosea .....kama mdogo wangu ameweza kuyaona madhaifu yangu "" hali ikoje kwa watu wengine ambao wanayaona pia lakini hawaniambiii kwa sababu sipo Karibu nao...."" SO UNGEMCHAPA MAKOFI TU AISEEE
 
Msaada kila nikimkanya au kumuonya mke wangu kuhusu jambo fulani baya anakimbilia kusema tuachane nimechoka..sasa kauli hizi zinanichosha sielewi ana lengo gani maana hatutoweza kupanga lokote lenye manufaa.haupiti mwezi hatujagombana labda nikubali kuwa bwege ila mambo mengine roho inauma...unakuta watu wanamtongoza ukimwambia awe makini anakuuliza "mume wangu huniamini"
Pole sana mkuu.

Yanayofaa kujishusha ili ugomvi uishe, jitahidi kujishusha ili muweze kuyamaliza hata kama unahisi yeye ndio chanzo.

Endelea kuwa na msimamo wako kwa yale ambayo hayavumiliki, usiyachekee wala usiyape nafasi. Play part yako, usimamizi na majukumu yako kama kawaida.

Yatakwisha tu, it just matter of time.
 
kwani mkubwa ndio hapigwi ...tena ungempiga ndio ingesaidia mnooo"" Maana angekaa chini na kutafakari vyema "" imekuwaje mtu mzima mpaka nikapigwa na mdogo wangu... yaweza kuwa sipo sahihi kweli "" wapi nakosea .....kama mdogo wangu ameweza kuyaona madhaifu yangu "" hali ikoje kwa watu wengine ambao wanayaona pia lakini hawaniambiii kwa sababu sipo Karibu nao...."" SO UNGEMCHAPA MAKOFI TU AISEEE
sawa baaab! hahahahahahhahaha
 
Iliwahi kutokea kwa mpenzi wanhu mmoja hv, kila kukitokea sinto fahamu hata umkute anaongea na simu na inaviashiria kuani mume mwenzangu yy atakimbilia tuachane.
Ikawaje mkuu??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom